Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,577
- 18,774
Nimeona hili kuhusu China Kujenga makao makuu ya Jeshi jijini Dodoma, ni kweli? Naelewa kuwa tuna ushirikano na China kwa muda mrefu na hata kusaidiana katika nyanja mbalimbali lakini kwa hili, kama ni kweli, tutakuwa tumekosea sana.
Naomba tulijadili.
Naomba tulijadili.