Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,577
- 18,774
- Thread starter
- #21
Naelewa hayo ya ngerengere, hoja yangu ni kuwa kwanini vitu kama hivi tusijenge wenyewe? We unafahamu vizuri jeshi lilivyo mahiri katika sekta ya ujenzi. Na hii haijaanza leo nakumbuka miaka ya 80 kulikuwa na daraja la mkoloni pale old bagamoyo road lililotaka kuvunjika. Jeshi wakalijenga la muda chap chap na juzi juzi tumeona timu ya Brigedia Charles Mbuge ilivyofanya kazi nzuri pale Dodoma, kwanini wasitumike kujenga makao makuu?Sijajua mantiki ya thread hii ulitakaje kwanza? Uwanja wa ndege wa jeshi kule ngere ngere kule morogoro umejengwa na China kipindi cha Jk