umbali wa kwenda kufuatilia ishu za kiserikali unapungua mfano mi wa mwanza naweza kwenda dom nikafata nachofata kesho yake nikarudi sio kama dar unalazimika kuspend siku 5 kwa maana ya siku 2 kwenda bas liklala moro na siku 2 kurud bas liklala shy na siku 1 ya kushughulkia ulchokfanya
Kipi mfano au huduma ipi labda huwezi kupata mikoani hadi uende makao makuu.