Tetesi: Ni kweli makao Makuu ya Jeshi Dodoma yanajengwa na China?

Inawezekana vipi?

Hawa wanajeshi si ndio kila siku wanapandishwa vyeo na miradi mikubwa mikubwa ya ujenzi inahamishiwa kwao baada ya taasisi zingine za ujenzi kuchemka kutokana na umahiri wao katika ujenzi.

inakuwaje hawawezi kujenga vya kwao wenyewe?
 
Kuhamia Dodoma kunamsaidia nn mlipa kodi au kunasaidia vipi uchumi
Mbwembwe mkuu,hakuna jipya,ni matumizi mabovu ya pesa za serikali.Dodoma hawahitaji hilo wanahitaji maji safi,elimu bora,miundo mbinu yenye uhakika,uwezeshaji kwenye kilimo cha umwagiliaji,bei za uhakika za mifugo na mazao yao ya kilimo.Wanahitaji kuboresha utunzaji wa mazingira na kustawisha misitu mikubwa.
 
Kila safari ilianza na hatua moja, mambo ya ngoja ngoja ndiyo yaliyo tuchelewesha miaka zaidi ya 40.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…