Mkuu turudi kwenye uhalisia tuache siasa. Tambi na viberiti ni bidhaa ambazo ziko sokon lakin hazitembei sana au hata km znatembe sana tayar zna washindani wakali. Tambi za MO zmekuja juzi tu tena hazna ubora kama umewah kuzitumia utanithibitishia hili hasa pale unapocompare na tambi kama za Santa Lucia ambazo znafanya vzr sokon kwa hapa kwetu Tanzania. Kuhusu viberti pia hzo bidhaa ameleta tu juz tayar tulikua na bidhaa kama kangaroo, rungu n.k ambazo hzo zote amezikuta znafanya vizuri. Kuhusu uwekezaji wa mataifa mengi afrika kuliko bakhera siwez kubisha maana sina taarifa za kutosha ni wapi amewekeza na kawekeza kwenye nini hasa. Lakin bakhera naye amewekeza Tz, kenya, uganda, congo, msumbiji, na pia south afrika. Yote kwa yote kuna kitu kimoja ambacho Mo anakifanya sidhan km kinampa "competative advantage" kulinganisha na wenzie, nacho ni kukopi kuliko pitiliza. Jamaa sokon hana bidhaa hata moja ambayo amebuni mwenyew nyingi ni cope and paste. Hii si mbaya ila ukikuta unayemkopi tayar amestabilize utakua unamark time tu. Mfano vinywaji vya hapa bongo 90 kamkopi azam, hizo tambi sijui viberti ndio usiseme ni cope tu na kuweka. Kuna kipindi amekuja mpka na baiskel za wajasiriamali kama bakhera alivyowapa wauza ice cream zake. Juzi juzi hapa kaja na ukwaju kama wa bakhresa. Nowonder hata Simba ndio maana anakomaa aimiliki na hatak kuanzisha timu ya kwake.