DR Mambo JamboHii couple maarufu huko TikTok ni kweli? Dada anasema kaathirika na kaolewa na mwanaume wana watoto na mume hajaathirika na HIV, na wanapendana kweli nadhani mliwaona walihojiwa wenyewe na walisema hawatumii condom.
Najiuliza ina maana DECEPTION alisema kweli kipindi kile au wanahamasisha watu wasiogope UKIMWI?
Je, kuna watu hawaambukizwi HIV?
Ni kweli mtu akitumia vizuri dawa ARV haambukizi wengine?
Je, UKIMWI ni fix tu?
Ni kweli mkuu sasa ndio ukajidumbukize kwa mtu mwenye miwaya kisa virus havisomi ivi kweli utakuwa unakaza vipi ? Mbona mtihani sana daaahNdio..kuna level mtu anayetumia dawa kama anatumia dawa vizuri anakuwa mtu asiyeweza kuambukiza wengine...ndo maana Serikali inapigia mkazo watu watumie dawa vizuri..
Hii ni sayansi sio porojo.
Hiyo ni incase mtu humjui..inasaidia kupunguza maambukizi kama utafanya unprotected sex.Ni kweli mkuu sasa ndio ukajidumbukize kwa mtu mwenye miwaya kisa virus havisomi ivi kweli utakuwa unakaza vipi ? Mbona mtihani sana daaah
Kweli mkuu ila mtu unajua ana moto alafu unaenda hivyo hivyo aisee hapana mastaHiyo ni incase mtu humjui..inasaidia kupunguza maambukizi kama utafanya unprotected sex.
Mkuu fanya tu kughairi urudi kutafuta suluhu ya yule jamaa anayepandisha ghorofa karibu na wewe..Niko naingia kweny show alfu una leta nyuz za namn hi mzigo wangu umelala laivu[emoji41]