Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Watu wamemshauri huko juu akatafuta solution ya jirani yake anayejenga ghorofa Yeye anaenda kuanguka dhambini mchana huu 🤣🤣🤣Acha uasherati na uzinzi, sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wamemshauri huko juu akatafuta solution ya jirani yake anayejenga ghorofa Yeye anaenda kuanguka dhambini mchana huu 🤣🤣🤣Acha uasherati na uzinzi, sawa?
Hayo yao sijui but anachokizungumza huyo ni kweli kuna watu wengi wanaishi mmoja ni mgonjwa na mwingine mzima na wanazaa watoto ambao ni wazima kabisaHao Matiktoker sidhani kama ni Wakweli wanatafuta hela tu. Kuna magonjwa ni ya aibu huwezi kuyatangaza tena kwenye mitandao ya Kijamii
Halafu kiba100 kinaweza pia kukusaidia. Sumu haionjwi!Kuna level ya viral load (idadi ya virusi vya HIV kwenye damu) ikifikia kuwa undetected (kutoonekana kwenye damu) inakuwa huwezi kumuambukiza mwenza wako hata mkijamiiana bila ya kinga. Ila inataka ujasiri wa hali ya juu.
Yani nikijua una ngoma sidhani hata kama mnara utasoma achilia mbali kupiga kavu.
Kama ni kweli basi mwamba jasiri hasa.
Kwamba pia sisi vibamia tunapeta tu sio??Mi ndio maana napenda bwawa, maji mengi...hii minato hapana aisee. Hivi tunavyoenda kavu ni hatari sana, tunapimana kwa macho tu na kujipa majibu kuwa hii ni -ve. Ona binti alivyo mrembo, lazima uende bare footed!
Wanaojitangaza hao ni waongo lakini wanaoishi na virusi wapo Mmoja anao mwingine hana.Hayo yao sijui but anachokizungumza huyo ni kweli kuna watu wengi wanaishi mmoja ni mgonjwa na mwingine mzima na wanazaa watoto ambao ni wazima kabisa
Eeeh mkuu, wenye matango wapo hatarini.Kwamba pia sisi vibamia tunapeta tu sio??
😂😂😂Watu wamemshauri huko juu akatafuta solution ya jirani yake anayejenga ghorofa Yeye anaenda kuanguka dhambini mchana huu 🤣🤣🤣
Huyo dada mwenyewe anaupendo sana wachache wanaoweza kusema hali zaoIla kuna watu wanajua kupenda acha kabisa. Kuna mtu tunafanya nae kazi anampenda huyo mdada na mdada kamwambia ameathirika.
Jamaa haelewi hadi wakapima kwenye bibie kawaka.
Bibie anamwambia jamaa yeye hawezi kuwa na mtu ambaye hajaathirika hataki kunyanyapaliwa, huyu mwamba eti akamwambia “niambukize na mimi basi ili tuwe sawa”. Ilibaki kidogo nimlambe kofi alivyokuwa ananihadithia ila nikagundua mapenzi upofu.
100% Ni kweli..
Mzee wenzangu naona umeweka vzr sana..Mi ndio maana napenda bwawa, maji mengi...hii minato hapana aisee. Hivi tunavyoenda kavu ni hatari sana, tunapimana kwa macho tu na kujipa majibu kuwa hii ni -ve. Ona binti alivyo mrembo, lazima uende bare footed!
Alafu Wazima mpo Yeye anataka Victim?🤣🤣🤣Ila kuna watu wanajua kupenda acha kabisa. Kuna mtu tunafanya nae kazi anampenda huyo mdada na mdada kamwambia ameathirika.
Jamaa haelewi hadi wakapima kwenye bibie kawaka.
Bibie anamwambia jamaa yeye hawezi kuwa na mtu ambaye hajaathirika hataki kunyanyapaliwa, huyu mwamba eti akamwambia “niambukize na mimi basi ili tuwe sawa”. Ilibaki kidogo nimlambe kofi alivyokuwa ananihadithia ila nikagundua mapenzi upofu.
Siku hizi imepinguza nafikiri Ni chini Ya copies 10 ndo TNDNi kweli kabisa mkuu, kama anatumia dawa vizuri nakufata masharti mpaka wingi wa virusi ukawa TARGET NOT DETECTED (TND) ambapo tunasema wingi wa virusi ni copies 11 hauwezi kupata.
😂😂😂😂😂😂 si huwa mnasema bwawa haina ladhaMi ndio maana napenda bwawa, maji mengi...hii minato hapana aisee. Hivi tunavyoenda kavu ni hatari sana, tunapimana kwa macho tu na kujipa majibu kuwa hii ni -ve. Ona binti alivyo mrembo, lazima uende bare footed!