Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

Kwa maana hiyo U=U
Vipimo vinasoma hajaathirika au
Hapana U=U
ni kiasi cha Virusi kuwa chini sana kwenye Damu tunaita TND..
Hiyo Haifanyi Virusi visionekane kwenye Antibodies Test au Visiwepo mwilini..
Bado ataendelea Kuwa na HIV ila uwezo wa kusambaza Virusi huwa ni mdogo sana..

Kwanini mnaogopa watu ambao tayari wapo kwenye dawa?

Me ningeshauri watu waogope zaidi mtu yule ambaye Kipimo kinasoma Negative..

kwanini?
Mtu anapokuwa kwenye Window Period Virusi huzaliana sana na ndo kipindi ambacho Muathirika anakuwa na Peak kubwa ya Virusi kuliko wakati wowote ule maana kipindi hicho bado antibodies hazijaanza kufanya kazi ya kupambana na Virus...
Hakuna kipind Muathirika huwa Contagious Wa HIV kama kipindi cha window Period..
 
😂😂😂😂😂😂 si huwa mnasema bwawa haina ladha
Sasa utajuaje huyu ana bwawa au hana
Nani kasema maji na bwawa having ladha, hakuna K tam kama yenye maji mengi. Kujua ndio tatizo, ila ukibahatisha unaepuka mengi, minato inachubua...
Advantage nyingine ni sie wenye viba100, ngumu sana kutuambukiza.
 
Namna pekee mwanaume huwezi pata maambukizi kirahisi kutoka kwa mwanamke mwathirika ni kama una kibamia, kama una mashine na unalast more than 10 minutes tumia tu kinga kwa usalama wako, hiyo michubuko wanayoisma huwezi kuiona kwa macho wala kuhisi umemchubua.
 
Namna pekee mwanaume huwezi pata maambukizi kirahisi kutoka kwa mwanamke mwathirika ni kama una kibamia, kama una mashine na unalast more than 10 minutes tumia tu kinga kwa usalama wako, hiyo michubuko wanayoisma huwezi kuiona kwa macho wala kuhisi umemchubua.
Kila kitu kina faida na hasara, nina bonge la dude halafu natumia lisaa lizima, halafu sipendi kondomu.

Wasukuma wanasema NATUCHIMYA.
 
usiwasikilize ni matapeli
Inawezekana bwana, ni vile ugonjwa ni tishio kiasi wauguzi hawawezi kuweka wazi maana watu watajiachia, mtu aliyetumia dawa kwa kipindi kirefu anaweza hata kupimwa na asionekane mwenye maambukizi, mdudu anavaa gamba fulani linalo punguza kushambulia au kupenya kwenda sehemu nyingine
 
Kuna level ya viral load (idadi ya virusi vya HIV kwenye damu) ikifikia kuwa undetected (kutoonekana kwenye damu) inakuwa huwezi kumuambukiza mwenza wako hata mkijamiiana bila ya kinga.

Ila inataka ujasiri wa hali ya juu. Yani nikijua una ngoma sidhani hata kama mnara utasoma achilia mbali kupiga kavu.

Kama ni kweli jamaa anakula mzigo kavu basi mwamba jasiri hasa.
Kaka kuna mambo yaa kushangaza
Au niseme nyege mbeya sana

Me nlipiga dem ana HIV tena nlikua na nnajua asilimia 99.9

Sijui ule ujasiri nlitoa wap
Nnachokumbuka nlifika kwake nkamkuta sebulen saa7 usiku kavaa mtandio tu
Chezea weweeee nkawa kama natak kumuinamisha anagoma
(Nlikua nkifanya hivyo ili ajue ya kua sijui status yake)
Nkamwambia nna ndom apa
Nkatoa nkavaa akainama vizuriii
Nkapiga na kutoka ila baadda ya kutoka sasa daaah
 
Back
Top Bottom