Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hata mimi hunipati..Kweli mkuu ila mtu unajua ana moto alafu unaenda hivyo hivyo aisee hapana masta
Huyu kaka ana moyo mgumu sana kiukweli na yuko poaDah 😂
Huwa Kuna msemo unasema Mtu mwerevu huchukua tahadhari kwa kusikia au kuona lakini Mpumbavu hupata experience baada ya kuumia. Usijichanganye rafiki yangu kama Mtu kawaka mpotezee kwanini uishi kwa mashaka ushindwe kuinjoi maisha?
Wapi Wengi Tu ...ambao hawawmbukizwi...wanasayansi walikuwa wanafanya tafiti bado why?Ila pia kuna watu hawaambukizwi ??
Huo upendo sio wa dunia hiiNi wengi kiukweli watu wanapendana bwana
Target Not Detested.Ni kweli kabisa mkuu, kama anatumia dawa vizuri nakufata masharti mpaka wingi wa virusi ukawa TARGET NOT DETECTED (TND) ambapo tunasema wingi wa virusi ni copies 11 hauwezi kupata.
😂😂😂Huyu kaka ana moyo mgumu sana kiukweli na yuko poa
Sio uwongo ni kweli coz ukitumia dawa vizuri unakuwa huwez kuambukiza wengine na mwenzio ambae yupo safe anapewa dawa ya kujikunga😂😂😂
Waongo hao utawaweza watu ndugu yangu ?
Acha uasherati na uzinzi, sawa?Niko naingia kweny show alfu una leta nyuz za namn hi mzigo wangu umelala laivu[emoji41]
Hao Matiktoker sidhani kama ni Wakweli wanatafuta hela tu. Kuna magonjwa ni ya aibu huwezi kuyatangaza tena kwenye mitandao ya KijamiiSio uwongo ni kweli coz ukitumia dawa vizuri unakuwa huwez kuambukiza wengine na mwenzio ambae yupo safe anapewa dawa ya kujikunga