Unahitaji maombiMimi kidogo nipo tofauti, siamini kama kuna magonjwa ya kuambukiza.
Kuna siku watakuja kuafiki hili, ndio maana kuna kuja stori nyingi mara Kuna watu hawaambukizwi mara hivi mara vile.
Kama kweli Kuna magonjwa ya kuambukizwa, yule wa kwanza kabisa kuumwa alipata wapi huo ugonjwa ?
Akili inahitajika kufikiri juu ya mambo haya.
Kero ya bwawa ni bora unyetuke tu. Feeling yake ni kama kuweka maji ya uvuguvugu kwenye glass nyembamba halafu unachovya mashine yako mule. Sasa raha ipo wapi hapo?Mi ndio maana napenda bwawa, maji mengi...hii minato hapana aisee. Hivi tunavyoenda kavu ni hatari sana, tunapimana kwa macho tu na kujipa majibu kuwa hii ni -ve. Ona binti alivyo mrembo, lazima uende bare footed!
Hujaeleza nini kifanyike ila unabwabwaja mkuu.Hakuna mbadala wa sumu.
Ukishabaini kwanini unapewa sumu utaelewa kwanini hauhitaji mbadala wa sumu.
Siwajibiki kukueleza chochote au kukuhakikishia lolote.Hujaeleza nini kifanyike ila unabwabwaja mkuu.
Unapopinga jambo hakiki kuwa na mbadala wa kile unachokipinga chief.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siwajibiki kukueleza chochote au kukuhakikishia lolote.
Ninaandika ninachotaka na ninavyotaka ikiwemo kubwabwaja na kubwata.
Weweee! Utaangamiza watu, achana na kukariri maneno kama kasuku!Matumizi sahihi ya dawa yanaounguza uwezekano wa maambukizi mapya.
Nadhani hata wizara ya afya ipo katika mpango kuwa hadi 2030 kusiwe na maambukizi kabisa ya HIV.
Tuwasisitive watu wapime na kutumia dawa ili kuendeea kulinda wengine.
JichanganyeElewa kitu
Havionekani = Haviambukizi
copies chini ya 50copies per mililiter ya damu
mara ngapJichanganye
Mtu kama wewe huna umuhimu wowote kwenye jamii.Siwajibiki kukueleza chochote au kukuhakikishia lolote.
Ninaandika ninachotaka na ninavyotaka ikiwemo kubwabwaja na kubwata.
🤣🤣🤣🤣🤣Mtu kama wewe huna umuhimu wowote kwenye jamii.
Mkuu b'komwe ana mchango mdogo sana kwenye jamiiMtu kama wewe huna umuhimu wowote kwenye jamii.
Unazipiga kwa muda gani tupe somoUKIJUA UMEVAMIA MSITU MZITO BAADA YA KUHONDOMOLA NDAN YA MASAA 72 PIGA ARV UKO FIT
Watu kwa kuchezea uhai upendo gani huo wa kuparamia Kifo wazi wazi.Hii couple maarufu huko TikTok ni kweli? Dada anasema kaathirika na kaolewa na mwanaume wana watoto na mume hajaathirika na HIV, na wanapendana kweli nadhani mliwaona walihojiwa wenyewe na walisema hawatumii condom.
Najiuliza ina maana DECEPTION alisema kweli kipindi kile au wanahamasisha watu wasiogope UKIMWI?
Je, kuna watu hawaambukizwi HIV?
Ni kweli mtu akitumia vizuri dawa ARV haambukizi wengine?
Je, UKIMWI ni fix tu?
ukit.0mba muathirika au mtu haumwelewi kimbia haraka kituo cha afya cha serikali ukajilize apo utapewa vidonge vya kukuepusha na ngoma ila hakikisha iwe ndani ya siku 3.Unazipiga kwa muda gani tupe somo