secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
😘Loh😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😘Loh😅
Njoo PM tuyajenge ya kwetu Wala tusiwasikilize vikaragosi.Loh😅
Mshana Jr ana majibuEti wa stendi et anauliza eti
Wachimbaji makaburi wanajua ukizikwa na vyumaMtu aliwekewa chuma, hospital ya Dodoma, na akafia huko malampaka, taarifa zake wanazipataje, nani nani anakuja kufanya upasuaji wa kuondoa chuma.
Wanajuaje.Wachimbaji makaburi wanajua ukizikwa na vyuma
Wa stendi shisha limeshamwingia kisawa sawa hata anata kufukua makaburi ya waliozikwa na vyuma.Mshana Jr ana majibu
Wewe vunjika nyonga uje tukipige chuma ufe kisha utaona wanavyojuaWanajuaje.
Ngoja nifanye hivyo nione then tukifa nitawaambia kupitia JF ya ahera.Wewe vunjika nyonga uje tukipige chuma ufe kisha utaona wanavyojua
Wewe fanya hivyo chapuNgoja nifanye hivyo nione then tukifa nitawaambia kupitia JF ya ahera.
Ok mkuu.Wewe fanya hivyo chapu
Changamkia fursa wachimbaji wapo standbyOk mkuu.
Stendi ya uyole au ni hapo kyabakari?Mbona watu wanaaminisha huku stendi
Niko kwenye mchakatoChangamkia fursa wachimbaji wapo standby
Vunjika fastaNiko kwenye mchakato
Zamani hata ndugu wa karibu waliofiwa walikuwa wananyolewa nywele na kubaki kiparaWanauza kwa idhini ya nani? Wakinikata za kwangu huyo atayezinunua mbona atajuta! Nitakuwa namtokea kila siku
KweliSio kweli
Implant removal yenyewe ni upasuaji nani yupo tayari kuhangaika na implant wakati bima inalipia 150000 tuKweli
Yes hiyo nilishuhudiaZamani hata ndugu wa karibu waliofiwa walikuwa wananyolewa nywele na kubaki kipara
We subiri nife uchukue dreads zangu, hakuna namna nyingineNjoo PM tuyajenge ya kwetu Wala tusiwasikilize vikaragosi.