FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Nipo na application ya simu nikikaa kwenye computer nitakuonyesha, ukirejerea nyuma utaona...
Application ya simu ndiyo inakufanya usione post yako? sababu zingine za kijinga kweli kweli, wewe ikiwa ndiyo Mkuu wa chuo nnawahurumia sana hao wanafunzi wako.
Nnauhakika wanasomea ujinga tu kutoka kwako si zaidi.
Last edited by a moderator: