Ni kweli Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulishinikizwa na mabeberu?

Ni kweli Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulishinikizwa na mabeberu?

Sasa ni kwa Nini waliwapa Uhuru Ile serikali ya waliyoiacha, Kisha baada ya miezi michache wapange tena kuipindua?

Si wangeacha kuipa Zanzibar Uhuru chini ya Waarabu?

Serekali walioipa uhuru hawakuitaka ila mazingira ndio yalishalazimu yawe hivyo mana ilishinda kila chaguzi walizoziweka. Kwahio ndio wakaja na plan B ya mapinduzi.

Hayo hayakua mageni mkuu, Yaliyotokea Zanzibar ndio yaliyotokea Zaire, Burundi na nchi kadhaa nyengine Africa.
 
Serekali walioipa uhuru hawakuitaka ila mazingira ndio yalishalazimu yawe hivyo mana ilishinda kila chaguzi walizoziweka. Kwahio ndio wakaja na plan B ya mapinduzi.

Hayo hayakua mageni mkuu, Yaliyotokea Zanzibar ndio yaliyotokea Zaire, Burundi na nchi kadhaa nyengine Africa.
Kwa Zaire naweza nikaelewa, Lumumba alikuwa communist, na serikali za kikomunisti zilikuwa zikipinduliwa kipindi kile
Ila Zanzibar serikali ya Waarabu haikuwa na itikadi za kikomunisti. Sababu ilikuwa ni nini
 
Hivi unafikiri hao Zanzibar watakubali kufutiwa Serekali yao?
Mbona sisi tulifuta yetu? Au tu mazuzu! Hakuna kitu naamini kitafuta kero za muungano kama kuwa na serkali moja. Hata serkali tatu sio jibu maana ni mlango wa kutengana mazima.
 
Kwa Zaire naweza nikaelewa, Lumumba alikuwa communist, na serikali za kikomunisti zilikuwa zikipinduliwa kipindi kile
Ila Zanzibar serikali ya Waarabu haikuwa na itikadi za kikomunisti. Sababu ilikuwa ni nini

Sababu zilikua ni nyingi sana, Wakoloni walipendelea kuwaachia nchi wale watu ambao wasingelileta athari kwao, Wale Hizbu walikua ni mwiba kwao, moja ya tatizo kubwa kwao ni Kuwa Hizbu walikua ni wanamini kwenye siasa za Arab Nationalism kitu ambacho Mabeberu walikua hawataki hata kukiona. Na Pia walikua wana misimamo mikali juu ya Mgogoro wa Israil na Palestina.
Mabeberu wana roho mbaya sana, Wale wote ambao waliwakereketa vilivyo kwenye kudai uhuru waliwalipa kwa kuwakomoa. Pia tazama nini kiliwakuta Seychelles.
 
Mbona sisi tulifuta yetu? Au tu mazuzu! Hakuna kitu naamini kitafuta kero za muungano kama kuwa na serkali moja. Hata serkali tatu sio jibu maana ni mlango wa kutengana mazima.

Nyinyi mlifuta yenu na mkajimilikisha SMT.
 
Sababu zilikua ni nyingi sana, Wakoloni walipendelea kuwaachia nchi wale watu ambao wasingelileta athari kwao, Wale Hizbu walikua ni mwiba kwao, moja ya tatizo kubwa kwao ni Kuwa Hizbu walikua ni wanamini kwenye siasa za Arab Nationalism kitu ambacho Mabeberu walikua hawataki hata kukiona. Na Pia walikua wana misimamo mikali juu ya Mgogoro wa Israil na Palestina.
Mabeberu wana roho mbaya sana, Wale wote ambao waliwakereketa vilivyo kwenye kudai uhuru waliwalipa kwa kuwakomoa. Pia tazama nini kiliwakuta Seychelles.
Okay
 
Hao mabeberu ndio waliokua master planer, Unafikiri Zenj bila ya baraka ya Mabeberu kungelifanyika mapinduzi? Mbona Bara mapinduzi yalishindikana licha ya kua Nyerere alikua kashivishwa Hijabu na kukimbia.
Huu ndio ukweli watanganyika hawataki kusikia. Mwalimu aliomba msaada wa malkia Elizabeti kudhubiti uasi jeshini.
 
Hao mabeberu ndio waliokua master planer, Unafikiri Zenj bila ya baraka ya Mabeberu kungelifanyika mapinduzi? Mbona Bara mapinduzi yalishindikana licha ya kua Nyerere alikua kashivishwa Hijabu na kukimbia.
Huu ndio ukweli watanganyika hawataki kusikia. Mwalimu aliomba msaada wa malkia Elizabeti kudhibiti uasi jeshini.
 
Duh...
Ila kwa nilivyosikia Tanganyika kama ilishiriki mapinduzi yale basi ilikuwa kwa siri sana... Sasa huyu bwana wa Ushelisheli alikuwa na intelijensia gani kugundua ushiriki wa Tanganyika kwa kipindi kile akiwa mtu mdogo tu.?

Unaposema akiwa mtu mdogo tu unamaanisha nini?
 
Duh...
Ila kwa nilivyosikia Tanganyika kama ilishiriki mapinduzi yale basi ilikuwa kwa siri sana... Sasa huyu bwana wa Ushelisheli alikuwa na intelijensia gani kugundua ushiriki wa Tanganyika kwa kipindi kile akiwa mtu mdogo tu.?

Na kuhusu usiri, haukua usiri mkubwa mana mambo yalikua yanafahamika.
 
Unaposema akiwa mtu mdogo tu unamaanisha nini?
Nimesikia alipokuwa akisema alipohudhuria sherehe za uhuru Zanzibar alivyoshtuka baada ya kufuatwa na balozi wa wa China Tangangika, na kueleza hakuwa na uzoefu wa mambo kama hayo
 
Nimesikia alipokuwa akisema alipohudhuria sherehe za uhuru Zanzibar alivyoshtuka baada ya kufuatwa na balozi wa wa China Tangangika, na kueleza hakuwa na uzoefu wa mambo kama hayo

Hakuwa mdogo kihivo mana mpaka kufika kuhudhuria masuala kama hayo ni tayari alikua mtu wa harakati za kisiasa, ILa tu hakua bado amekomaa kihiivo.
Na mkuu Zanzibar haikuwa nchi ya mwanzo kupinduliwa Africa, kwhaiyo lilikua ni wimbi ambalo lipo masikioni.

Na Tanganyika tayari ilishakua na shutuma nyingi za kuji involve kwenye mambo ya Zanzibar.

Nyerere alikua na shutuma za kuhusika katika kuanzishwa kwa chama cha ASP
Chama cha ASP kiligawika 1959 na moja mgogoro mkuu ilikua ni kwanini Nyerere anaruhusiwa kuingilia mambo ya chama
Serekali ya Tanganyika ilikua ikishutumiwa kupeleka mamluki watu Zanzibar kwa ajili ya Kupigishwa kura
Katika Vurugu za uchaguzi zilizotokea 1961 kulikua na shutuma kuwa vijana waliotumika kufanya fujo wa ASP wengi wao waliletwa kutoka Tanganyika.
TANU walikua ndio moja ya wafadhili wakuu wa ASP
 
Duh...
Ila kwa nilivyosikia Tanganyika kama ilishiriki mapinduzi yale basi ilikuwa kwa siri sana... Sasa huyu bwana wa Ushelisheli alikuwa na intelijensia gani kugundua ushiriki wa Tanganyika kwa kipindi kile akiwa mtu mdogo tu.?
Usiri gani,wakata mkonge toka tanga inadaiwa walipelekwa huko,mmoja mpaka 2000s hapo slikuwepo
 
Hakuwa mdogo kihivo mana mpaka kufika kuhudhuria masuala kama hayo ni tayari alikua mtu wa harakati za kisiasa, ILa tu hakua bado amekomaa kihiivo.
Na mkuu Zanzibar haikuwa nchi ya mwanzo kupinduliwa Africa, kwhaiyo lilikua ni wimbi ambalo lipo masikioni.

Na Tanganyika tayari ilishakua na shutuma nyingi za kuji involve kwenye mambo ya Zanzibar.

Nyerere alikua na shutuma za kuhusika katika kuanzishwa kwa chama cha ASP
Chama cha ASP kiligawika 1959 na moja mgogoro mkuu ilikua ni kwanini Nyerere anaruhusiwa kuingilia mambo ya chama
Serekali ya Tanganyika ilikua ikishutumiwa kupeleka mamluki watu Zanzibar kwa ajili ya Kupigishwa kura
Katika Vurugu za uchaguzi zilizotokea 1961 kulikua na shutuma kuwa vijana waliotumika kufanya fujo wa ASP wengi wao waliletwa kutoka Tanganyika.
TANU walikua ndio moja ya wafadhili wakuu wa ASP
Kumbe CCM (TANU&ASP) ilikuwepo kitambo kabla ya mapinduzi

Sasa lakini, serikali ya kipindi hicho baada ya kugundua meddling alizokuwa akifanya Tanganyika kwenye siasa zake za ndani kwa Nini haikuwa alert na kuimarisha ulinzi, au hata kuomba ulinzi kutoka mataifa rafiki?

Maana nasikia ilipinduliwa kiboya sana...ilikuwa Kama kumsukuma mlevi
 
Usiri gani,wakata mkonge toka tanga inadaiwa walipelekwa huko,mmoja mpaka 2000s hapo slikuwepo
Serikali, na vyombo vya ulinzi na usalama vilikuwa vimelala tu.
Kama walipewa Uhuru na kutambuliwa na UN kwa Nini wakawa wazembe kulinda Uhuru huo?
 
Back
Top Bottom