inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Unavyoongea utadhani kulinda nchi ni sawa na kulinda nyumba...unapigwa mande na marekani,uingereza na Tanganyika,unajilindaje nchi iliyopata Uhuru so zaidi ya mwakaSerikali, na vyombo vya ulinzi na usalama vilikuwa vimelala tu.
Kama walipewa Uhuru na kutambuliwa na UN kwa Nini wakawa wazembe kulinda Uhuru huo?