Ni kweli Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulishinikizwa na mabeberu?

Ni kweli Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulishinikizwa na mabeberu?

Hoja ya Serekali moja ni kitu ambacho kwa wazanzibari haiwez kukubalika, Kwa Tanganyika munaona ni jambo jepesi mana nyinyi ndio mutakaokwenda kunufaika nayo. Je mutakua tayri kuwe na serekali moja ambayo makao mkuu yake yawe Unguja, Raisi wa JMT atoke Unguja, Wakuu wa Idara zote kuanzia TISS, JWTZ, TANPOL na nyengine nazo watoke Unguja, Je watanganyika mutakua tayari nahilo?
Hapo sasa watakuwa unawaona ndezi au?
 
Ni propaganda uchwara za CCM tu, ASP kuwa na idadi ya kura nyingi haikuwa Point ya msingi kabisa mana sheria za nchi hazikua zikizingatia hilo jambo. Hata Trump alikua Rais wa U.S bila ya kuwa na kura nyingi kuliko mshindani wake.

CCM wamekua na porpaganda za kipuuzi kabisa. Kwa bahati mbaya nchi yetu bado imejaa wajinga na ndio mana wapo watu wamekua wakiwaamini.
Yaani wamesababisha mchakato halali kuonekana haramu,wamesababisha kiongozi mzuri na muungwana bwana Jamshid aonekane mbaya.
 
Si kweli kwamba Nyerere alikuwa na mawazo ya Serikali moja tu! Serikali mbili (ukifuta ya Tanganyika) ndiyo yalikuwa mawazo yake. Hoja yake ilikuwa kwamba nchi mbili zinaungana; bila kujali ukubwa au idadi ya watu wa kila upande. Hadhi tu ya kwamba kila upande ni nchi, ndiyo ilikuwa kanuni ya muungano. Sasa, kama ni hivyo, kwa nini alikubali serikali ya Zanzibar ibaki na ya Tanganyika ife? Hilo ndilo swali gumu linalohitaji uchunguzi yakinifu.
Utaifa wa Zanzibar ni imara Sana.Kuna wale wanaoumwa na Aepedomia ndo huwasaliti wenzao ila kuia serikali ya Zanzibar ni kazi ngumu sana
 
Kuna mengi ya kufikirisha katika muungano
 
Huu muungano wa Zanzibar na Tanganyika , hapo baadae unatakiwa kufutiliwa mbali kabisaa, tubaki na nchi moja tuuuuuu.


Maana wakazi wengi wa Zbr hasa weusi asili yao ni Tanganyika.

Yaani mwenye asili ya Tanganyika aongee lugha tofauti na lugha za Tanganyika ??
 
Hakuna nchi ya kibantu kuna nchi za wabantu Tanganyika na Zanzibar zikiwa ni mojawapo, upo hapo ?
 
Be precise, unajua au haujui ?
 
What is your point exactly ?

Zanzibariis arent bantus ?

Of course watakuwa kila kabila kwa vile wanahamia watu tofauti. Ni kwamba msi force uvamizi / muungano kwa vigezo vya ubantu , wabantu wako Kenya, Msumbiji, Kongo na kote wamehamia , mbona hamuungani nao kwanza? . Ajabu tunaambiwa Wazanzibari ni wanyamwezi, Wachaga nk lakini mbona Kimakunduchi au Kitumbatu au Kikojani hakiongewi Tanganyika na kabila lolote???
 
Of course watakuwa kila kabila kwa vile wanahamia watu tofauti. Ni kwamba msiforce uvamizi kwa vigezo vya ubantu , wabantu wako Kenya Mdumbiji Kongo na kote wamehamia , mbona hamuungani nao kwanza? . Ajabu tunaambiwa Wazanzibari ni wanyamwezi, Wachaga nk lakini mbona Kimakunduchi au Kitumbatu au Kikojani hakiongewi Tanganyika na kabila lolote???
Huna hoja
 
Back
Top Bottom