Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
huna hojaSijaelewa katu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna hojaSijaelewa katu.
Huo ndio uungwana sasa. Sio muda wote kubisha tuuuu.Nimekubali sisi sote ni wabantu
Nimeandika wapi maneno hayaHuo ndio uungwana sasa. Sio muda wote kubisha tuuuu.
Huo ndio uungwana kijana wangu.Sawa mimi nimekubali sote ni wabantu, tuishi kwa umoja, upendo na amani.
Endelea kunisemea huku ukilinukuu jina languHuo ndio uungwana kijana wangu.
Watakataa sio kwa hoja ya kufutiawa uasili wao, ila watakaa kwa tamaa kwamba kuna vyeo watakosa au kwa mambo ya siasa.Hivi unafikiri hao Zanzibar watakubali kufutiwa Serekali yao?
Sawa tupo pamoja kiongozi.Endelea kunisemea huku ukilinukuu jina langu
Mimi naipenda sana nchi yangu na nawapenda sana ndugu zangu wa Tanganyika
[QUOTE="Kipangaspecial, post: 47092619, member: 589000"Mimi siamini katika muungano na waarabu ndiwo watu Waziri kuja kuekeza hapa nchini . Samahani Sana kwa kukuwekea maneno ambayo wewe hujasema hasa haya ya kibantu
Umevamia mtumbwi wa vibwengo.Afadhali umeanza kulelewa makosa yako
Watakataa sio kwa hoja ya kufutiawa uasili wao, ila watakaa kwa tamaa kwamba kuna vyeo watakosa au kwa mambo ya siasa.
Muungano wa kisengeremawatanganyika kuna mambo megi sana wanashindwa kufahamu kuhusu Zanzibar na Muungano kwa ujumla
Hii leo King wa wabantu unasema maneno hayo ?? au unaendelea kuweka maneno yako kwenye majina ya watu ??Muungano wa kisengerema
Habari ya jioni bwasheeeHii leo King wa wabantu unasema maneno hayo ?? au unaendelea kuweka maneno yako kwenye majina ya watu ??
Nyie mmejaa sana huku TanganyikaHuu muungano wa Zanzibar na Tanganyika , hapo baadae unatakiwa kufutiliwa mbali kabisaa, tubaki na nchi moja tuuuuuu.
Maana wakazi wengi wa Zbr hasa weusi asili yao ni Tanganyika.
Wakina nani bwasheeNyie mmejaa sana huku Tanganyika
Sasa kama ni hivyo mbona Muungano ukaleta ujamaa ambao ni huo huo ukomunisti japo wa bei ndogo.ilikuwa project ya CIA ili kuzuia Zanzibar isigeuzwe kuwa "Cuba ya africa" na wakomunisti.
By late C. Mtikila R.I.P
Yani wazanzibari waache kuwa na baraza la wawakilishi, na Rais na serikali ya kujiamulia mambo yao, wawe levo moja na kamkoa kama mafia, ama moro hivi? Japo sio Mzanzibari bado naona huo ni ufala, serikali ya Zanzibar haiwezi kufutwa, labda mabadiliko yahusishe vitu vyengineIwe nchi moja ambayo Zanzibar ni shehemu yake au nchi 2 tofauti?
Mkuu kila mtu aishi kwake tu, sioni faida kabisa ya Muungano hasa kwa sisi Watanganyika, zbar ni mzigo kwetuUamuzi mgumu Sana huu, Zanzibar watalipinga kwa nguvu zote
Hawakubali miaka bukuUamuzi mgumu Sana huu, Zanzibar watalipinga kwa nguvu zote
Hyo Sasa ni vitaHilo jambo halihitaji demokrasia bwashee, ni matumizi ya nguvu, mwanzo mwisho.