BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Kama ushawahi kuangalia prison break kuna tajiri alimkodi Sucre kwenda kuipiga chombo yake.Jamani[emoji2][emoji2],, usikamie sana hivyo usije unapata pesa nguvu za kiume zimeisha sijui utafanyaje[emoji23]( am kidding [emoji854][emoji854])
Hahah😂😂😂😂🙌Kama ushawahi kuangalia prison break kuna tajiri alimkodi Sucre kwenda kuipiga chombo yake.
Incase nguvu zikiwa zimeisha nakodi vijana wana kuchapa fimbo mbele ya macho yangu tena ile kisawa sawa
Well said👍🙏🙏Achana na kitu kinaitwa hisia za mapenzi...
Mwanamke hata kama ukampa Kila kitu kama hana hisia na wewe za mapenzi, ataenda kwa fukara ambaye anahisia nae..
Uswahilini ndoa zinadumu sababu wanapendana kweli kwa hisia...
Ushuani mara nyingi upendo ni wa vitu na sio mtu...mf gari, pesa, nyumba...
Ni vigumu ndoa kudumu ushuani...
UWONGO.Inawezekana mapenzi hayabagui unapoamua kumpenda mtu waeza mchukulia kwa hali yoyote ile haijalishi yuko na pesa au fukara
Naombeni mnipe majibu, ni kweli mwanamke hawezi kumpenda mwanaume fukara? Lakini mbona baba yangu alipendwa na mama yangu akiwa hana kitu, mimi nimezaliwa Mpaka nafikia umri wa kujitambua nimekuta baba yangu anaishi kwao, yaani kwenye nyumba ya wazazi wake nayo ilikuwa chumba kimoja na sebure.
Lakini mbona ndoa za uswahili asilimia kubwa zinadumu ukilinganisha na zile za ushuwani? yaani unakuta mtu anaishi na mke wake wamepanga chumba kimoja na wanaishi maisha ya kuungaunga Lakini wanadumu wanazaa watoto wanafanikiwa kujijenga na kuwa na makazi yao.
Lakini mbona mwanamke huyohuyo unaweza kumpa kila kitu na bado akaenda kumpa penzi fukara?
Unaweza usiridhike ila ukafa fukara , mapenzi ni kamari tu.
tunaweza kumpenda yeyote yule ,chamsingi amani ya moyo na utulivu
Yeah ni kweli 🤗aman ya moyo n kitu muhmu sana,
Moyo wako unajua mambo mengi ambayo akili yako haiyajui…
Yah ni kweli mwanamke mwenye uchumi mzuri anampenda mwanaume yoyote mwenye pesa au hasiyekuwa na pesa, kwasababu anaweza kujimudu kwa mahitaji yake madogo madogo.Kwa hiyo unataka kusema mwanamke mwenye background nzuri, ya kiuchumi hachagui anaweza kumpenda yoyote yule
Ni kweli mwanamke anabadiliko kutokana na wakati uliopo, mfano akiwa kwenye matatizo ya kiuchumi na akafatwa na mwanaume mwingine mwenye pesa ana mkubali ili kujishikiza matatizo yake yaishe na wakati huo yupo na mwanaume ampendae kutoka moyoni. Kwakifupi wanawake wasikuizi wanajua kuigiza wakiwapata wanaume wenye pesa ili waweze kutatua shida zao, ndiyo maana pesa zikiondoka na wao wanaondoka.Unauliza swali na kujijibu mwenyewe.....
Ndio inawezekana mwanamke kumpenda mwanaume fukara ila pia itategemeana kipaumbele cha mwanamke katika maisha yake ni nini??
Wewe ndo unaona ni ufukara Kwa kuwa maisha ya kileo yako redefined kwamba chumba na sebule ni ufukara ila, mama yako bila shaka hakuona ni ufukara.Naombeni mnipe majibu, ni kweli mwanamke hawezi kumpenda mwanaume fukara? Lakini mbona baba yangu alipendwa na mama yangu akiwa hana kitu, mimi nimezaliwa mpaka nafikia umri wa kujitambua nimekuta baba yangu anaishi kwao, yaani kwenye nyumba ya wazazi wake nayo ilikuwa chumba kimoja na sebure.
Lakini mbona ndoa za uswahili asilimia kubwa zinadumu ukilinganisha na zile za ushuwani? yaani unakuta mtu anaishi na mke wake wamepanga chumba kimoja na wanaishi maisha ya kuungaunga Lakini wanadumu wanazaa watoto wanafanikiwa kujijenga na kuwa na makazi yao.
Lakini mbona mwanamke huyohuyo unaweza kumpa kila kitu na bado akaenda kumpa penzi fukara?
Duh hii point mwanangu..... 'utajiri wa zamani ni ufukara tu leo'Wewe ndo unaona ni ufukara Kwa kuwa maisha ya kileo yako redefined kwamba chumba na sebule ni ufukara ila, mama yako bila shaka hakuona ni ufukara.
Zamani mama zetu walitaka mahitaji ya msingi tu kama chakula, makazi ya kawaida, mavazi na usalama. Siku hizi wanawake wanataka mijumba, mandinga, mapene ya kupendeza na kula bata, n.k
Kwa kifupi, utajiri wa zamani ni ufukara tu leo hii.
Uongo,kigezo Cha kupendwa sio pesa,ukipendwa sababu ya pesa ukifulia lazima ukimbiweNaombeni mnipe majibu, ni kweli mwanamke hawezi kumpenda mwanaume fukara? Lakini mbona baba yangu alipendwa na mama yangu akiwa hana kitu, mimi nimezaliwa mpaka nafikia umri wa kujitambua nimekuta baba yangu anaishi kwao, yaani kwenye nyumba ya wazazi wake nayo ilikuwa chumba kimoja na sebure.
Lakini mbona ndoa za uswahili asilimia kubwa zinadumu ukilinganisha na zile za ushuwani? yaani unakuta mtu anaishi na mke wake wamepanga chumba kimoja na wanaishi maisha ya kuungaunga Lakini wanadumu wanazaa watoto wanafanikiwa kujijenga na kuwa na makazi yao.
Lakini mbona mwanamke huyohuyo unaweza kumpa kila kitu na bado akaenda kumpa penzi fukara?