malisak
JF-Expert Member
- Mar 16, 2006
- 694
- 775
Ni kupeana tu sababu maisha ni kuchaguaSasa ukipenda vibunda inabidi ukubariane na yote sio unapenda vibunda alafu hutaki kutoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kupeana tu sababu maisha ni kuchaguaSasa ukipenda vibunda inabidi ukubariane na yote sio unapenda vibunda alafu hutaki kutoa
Hii imeenda kabisaa🤣🤣 kama pana kaukweli hivi anaweza mpenda ila asiolewe nae..Anaweza kumpenda ila hawezi kuishi nae...
Nitarudi...
Kwani wewe huna mikono nawe si utafuteBinafsi sitaki mwanaume asiekuw ana pesa wengi wana gubu na nongwa
Hela ya mwanaume ina utamu wake ulikuwa hujui hata kama nina yangu ila na yake niile hapa ni mwendo wa changu chake na changu changuKwani wewe huna mikono nawe si utafute
Maisha ni kuishi na kuishi sio kuchagua Maisha ni kuamua umeamuaje unatoa hutoiNi kupeana tu sababu maisha ni kuchagua
na nita anzakukufatilia😅Yapo bhana😃😃
Ndio nimekwambia sio unakula tu siku akikwambia utoe unaanza kujilizaliza ukipenda kula ujue na kutoa haya Mama leo toa hio ....... Utatoa?Kila mtu apende apendacho ila nasisistiza sitaki mwanaume fukara wasumbufu sana kero na gubu ndio kwao tehe tehe teheheheheeeeeeeeeeee
where & how?why , who, when ?
Karibu sana 😃😃na nita anzakukufatilia😅
Mmmh not in Africa. 😀Yapo bhana😃😃
Haah😂😂😂😂Mmmh not in Africa. 😀
Wapi uletewe kinywaji nilipie?Binafsi sitaki mwanaume asiekuw ana pesa wengi wana gubu na nongwa
Imeisha hiyooooooWapi uletewe kinywaji nilipie?
Upendo ni bure, unaweza kumpenda mtu yeyote muda wowote kwa hali yeyote, ila kudumu nae ni mtihani tena ikitokea umemzidi…
Wanasumbuliwa na alot of insecurities, hata ukijieleza na kumuonesha kuwa umempenda kweli na umeamua kwa dhati kuishi nae, utadeal na gubu, kisirani, attitudes, uongo uongo sehemu ambayo hata haifai kudangaya anajikuta kishadanganya, kujishtukia kwingi etc ukiamua kukomaa nae anaanza kuwaza huna pa kwenda… Hawaelewi kuwa kuna muda na sisi ni binadamu tunapenda.
Umeamua kutukera na kututonesha vidonda vyetu mkuu.Kila mtu apende apendacho ila nasisistiza sitaki mwanaume fukara wasumbufu sana kero na gubu ndio kwao tehe tehe teheheheheeeeeeeeeeee
I’m telling you Lee, mambo hayo wanayaweza wenzetu wazungu, (loving unconditionally) kibongo bongo pesa/mali inaplay part kubwa sana kwenye mapenzi, hasa kwenye dunia ya leo.Haah😂😂😂😂