Edo kissy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 2,802
- 7,551
Uongo kumpenda yeyote uongo huo ni uongo bhana. 🗣🗣tunaweza kumpenda yeyote yule ,chamsingi amani ya moyo na utulivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo kumpenda yeyote uongo huo ni uongo bhana. 🗣🗣tunaweza kumpenda yeyote yule ,chamsingi amani ya moyo na utulivu
Kwahiyo hawa wanaosema mwanamke hawezi kupenda fukara wamevurugwatunaweza kumpenda yeyote yule ,chamsingi amani ya moyo na utulivu
Story zao hutupa wenyeweHivi huwa mnachunguza mpk baba yako na mama yako walipendana vipi?
Inategmea na status yake ya maisha (umaskini)....maybe anategemea aolewe na mtu mwenye hela ili apate unafuu wa maishakwahiyo hawa wanaosema mwanamke hawezi kupenda fukara wamevurugwa
Binafsi sitaki mwanaume asiekuw ana pesa wengi wana gubu na nongwa
Wapo wengi tu, tena ni wazuri huwezi amini😃Uongo kumpenda yeyote uongo huo ni uongo bhana. 🗣🗣
Kwa hiyo unataka kusema mwanamke mwenye background nzuri, ya kiuchumi hachagui anaweza kumpenda yoyote yuleInategmea na status yake ya maisha (umaskini)....maybe anategmea aolewe na mtu mwenye hela ili apate unafuu wa maisha
Basi mtaani kwetu ndo hawapo au?🤣Wapo wengi tu, tena ni wazuri huwezi amini😃
That's my point 😊🤗kwa hiyo unataka kusema mwanamke mwenye background nzuri, ya kiuchumi hachagui anaweza kumpenda yoyote yule
Sema bado hujakutana nao😃😃Basi mtaani kwetu ndo hawapo au?🤣
Hata ukicheka atahisi unamcheka yeye maana wengi hawajiamini acha tupambane na mapedejee wenye maokoto yao hawana muda wa kukufuatilia wao busy kusaka notiHii imeenda kabisa😊
Labda, ebu nitembelee mitaa ya kwenu watakuwepo si ety?Sema bado hujakutana nao😃😃
hahah😃😃😃😂😂Labda, ebu nitembelee mitaa ya kwenu watakuwepo si ety?
kuna ka ukweli hapa...hawa wanaowalilia wanaume Wenye pesaThat's my point 😊🤗
Ila muwe mnawakumbuka na ambao hawana kitu wasijione wapweke sana.Hata ukicheka atahisi unamcheka yeye maana wengi hawajiamini acha tupambane na mapedejee wenye maokoto yao hawana muda wa kukufuatilia wao busy kusaka noti
Ndo hivyo inavyokuaga, fuatilia hata wanaume wanaohimizana watafute hela ili watoke na wanawake wazuri, wengi wao background zao ni umaskini uliotukuka. Ila ambao wako na background nzuri wanaweza wakapenda na kuoa yeyote yule bila kuangalia ana hela amesoma au hajasoma.kuna ka ukweli hapa...hawa wanaowalilia wanaume wengi wao wametokea kwenye maisha ya dhiki, surba, njaa kali, kajampa nani, kuvaa nguo moja kauka nikuvae na mengineyo
Mmoja wapo Ni wewe😁🤒Sema bado hujakutana nao😃😃
Hahah😃😃😃🤕Mmoja wapo Ni wewe😁🤒