Tetesi: Ni kweli Ndugulile na Kalemani wameondolewa kwa ushawishi wa matajiri?

Tetesi: Ni kweli Ndugulile na Kalemani wameondolewa kwa ushawishi wa matajiri?

Gwajima

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2018
Posts
253
Reaction score
406
Siku chache kabla ya kutenguliwa kwa uteuzi wa ndugu Faustine Ndugulile na Merdad Kalemani, tulishuhudia Wizara zao zikiingia makubaliano ambapo TANESCO walikubali kutumia miundombinu yao kusambaza mkongo wa taifa majumbani ili kuwezesha wananchi kupata huduma za internet, simu na Tv kwa gharama nafuu.

Kuna tetesi kuwa makubaliano haya yaliwakera sana matajiri wanaomiliki makampuni ya mawasiliano kwani huenda wangepunguza wateja wao, pia inaelezwa kuwa watoa huduma za visimbuzi nao hawakupenda mradi huu hivyo wakawasemea kwa mama kuwa mradi huu utapunguza wawekezaji na mama bila ajizi akawapumzisha.

Sijui kama ni tetesi tu au ndivyo ilivyo, nataka Serikali iseme kama mradi huu utaendelea au hautafanyuka, endapo hautafanyika basi tetesi hizi zitanishawishi, kama utafanyika basi mnaonena chini chini mkome kuzusha mambo.

FB_IMG_16315920330041687.jpg
 
Acheni porojo nyie watu!! Hivi si ni huyu huyu Ndungulile alikuja na vifurushi vya ovyo kabisa vya intanet?! Hivi mfumo wa ovyo wa kutumika kwa LUKU kulipia kodi ya majengo; mfumo huo ulitakiwa kuwa approved na nani kama sio wizara ya huyo huyo Ndungulile? Na ni wizara ya nani inahusika na bei ya kubwa ya umeme na gas inayoendelea kupanda kila siku kama sio Kalemani?
 
Hivi jamani ile 40% punguzo la tozo limetimia au bado. Naomba mrejesho kwa wanaotumia huduma za mobile money. 30% serikali na 10% service provider
 
Siku chache kabla ya kutenguliwa kwa uteuzi wa ndugu Faustine Ndugulile na Merdad Kalemani, tulishuhudia Wizara zao zikiingia makubaliano ambapo TANESCO walikubali kutumia miundombinu yao kusambaza mkongo wa taifa majumbani ili kuwezesha wananchi kupata huduma za internet, simu na Tv kwa gharama nafuu.

Kuna tetesi kuwa makubaliano haya yaliwakera sana matajiri wanaomiliki makampuni ya mawasiliano kwani huenda wangepunguza wateja wao, pia inaelezwa kuwa watoa huduma za visimbuzi nao hawakupenda mradi huu hivyo wakawasemea kwa mama kuwa mradi huu utapunguza wawekezaji na mama bila ajizi akawapumzisha.

Sijui kama ni tetesi tu au ndivyo ilivyo, nataka Serikali iseme kama mradi huu utaendelea au hautafanyuka, endapo hautafanyuka basi tetesi hizi zitanishawishi, kama utafanyika basi mnaonena chini chini mkome kuzusha mambo. View attachment 1936747
Kalemani na Ndugulile wameshakuwa misukule.
Kawafufue!
 
Walipata ubunge kwa njia halali? Tuanzie hapo kwanza.
che kabla ya kutenguliwa kwa uteuzi wa ndugu Faustine Ndugulile na Merdad Kalemani, tulishuhudia Wizara zao zikiingia makubaliano ambapo TANESCO walikubali kutumia miundombinu yao kusambaza mkongo wa taifa majumbani ili kuwezesha wananchi kupata huduma za internet, simu na Tv kwa gharama nafuu.

Kuna tetesi kuwa makubaliano haya yaliwakera sana matajiri wanaomiliki makampuni ya mawasiliano kwani huenda wangepunguza wateja wao, pia inaelezwa kuwa watoa huduma za visimbuzi nao hawakupenda mradi huu hivyo wakawasemea kwa mama kuwa mradi huu utapunguza wawekezaji na mama bila ajizi akawapumzisha.

Sijui kama ni tetesi tu au ndivyo ilivyo, nataka Serikali iseme kama mradi huu utaendelea au hautafanyuka, endapo hautafanyuka basi tetesi hizi zitanishawishi, kama utafanyika basi mnaonena chini chini mkome kuzusha mambo. View attachment 1936747
 
Back
Top Bottom