Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Pengine ndiye Rais ajaye. Siku zote dunia na shetani huwashambulia wenye nyota kuzuia yajayo huko mbele.Ndugulile sasa ni wakati wake wa kutafakari namna ya kuwasaidia wananchi wa Jimbo lake.....Na ikitokea teuzi nyingine akatae..amekuwa na bahati mbaya na hii nafasi ya Uwaziri
Hawa mawaziri mnawapa lawama au hamjui kuwa waziri hawezi kupeleka muswada bungeni pasi Rais kufahamu?.Acheni porojo nyie watu!! Hivi si ni huyu huyu Ndungulile alikuja na vifurushi vya ovyo kabisa vya intanet kabla SSH hajaingilia kati?! Hivi mfumo wa ovyo wa kutumika kwa LUKU kulipia kodi ya majengo; mfumo huo ulitakiwa kuwa approved na nani kama sio wizara ya huyo huyo Ndungulile? Na ni wizara ya nani inahusika na bei ya kubwa ya umeme na gas nayoendelea kupanda kila siku kama sio Kalemani?
Tusubiri tuone maana hamna litakalojificha. Huu mradi kama ulikuwa ufanykie in good faith ungeleta ahueni kwenye matumizi, gharama na usambaaji wa mawasiliano hususani Internet/teknolojia ya mawasiliano ambayo matumizi yake ni muhimu sana kiuchumi katika dunia ya sasa.Siku chache kabla ya kutenguliwa kwa uteuzi wa ndugu Faustine Ndugulile na Merdad Kalemani, tulishuhudia Wizara zao zikiingia makubaliano ambapo TANESCO walikubali kutumia miundombinu yao kusambaza mkongo wa taifa majumbani ili kuwezesha wananchi kupata huduma za internet, simu na Tv kwa gharama nafuu.
Kuna tetesi kuwa makubaliano haya yaliwakera sana matajiri wanaomiliki makampuni ya mawasiliano kwani huenda wangepunguza wateja wao, pia inaelezwa kuwa watoa huduma za visimbuzi nao hawakupenda mradi huu hivyo wakawasemea kwa mama kuwa mradi huu utapunguza wawekezaji na mama bila ajizi akawapumzisha.
Sijui kama ni tetesi tu au ndivyo ilivyo, nataka Serikali iseme kama mradi huu utaendelea au hautafanyuka, endapo hautafanyuka basi tetesi hizi zitanishawishi, kama utafanyika basi mnaonena chini chini mkome kuzusha mambo. View attachment 1936747
Bado sio raia wa kawaida kama ww wao bado wako katika food chain ya cake ya taifa kilichotokea wamebadilishiwa nafasi walikuwa kwenye mstari wa mbele sasa hivi wako mstari wa katikatiLeo ni raia kama mimi sema wao wameibaiba wana mali nyingi
Siku chache kabla ya kutenguliwa kwa uteuzi wa ndugu Faustine Ndugulile na Merdad Kalemani, tulishuhudia Wizara zao zikiingia makubaliano ambapo TANESCO walikubali kutumia miundombinu yao kusambaza mkongo wa taifa majumbani ili kuwezesha wananchi kupata huduma za internet, simu na Tv kwa gharama nafuu.
Kuna tetesi kuwa makubaliano haya yaliwakera sana matajiri wanaomiliki makampuni ya mawasiliano kwani huenda wangepunguza wateja wao, pia inaelezwa kuwa watoa huduma za visimbuzi nao hawakupenda mradi huu hivyo wakawasemea kwa mama kuwa mradi huu utapunguza wawekezaji na mama bila ajizi akawapumzisha.
Sijui kama ni tetesi tu au ndivyo ilivyo, nataka Serikali iseme kama mradi huu utaendelea au hautafanyuka, endapo hautafanyuka basi tetesi hizi zitanishawishi, kama utafanyika basi mnaonena chini chini mkome kuzusha mambo. View attachment 1936747
Kiongozi anadhihirika katika ufanyaji wa maamuzi na kupanga mikakati kuhusu kundi analoliongoza,kiongozi wetu kaamua na anamatarajio katika maamuzi yake, ikumbukwe pia katika maamuzi huwezi kupatia nyakati zote.Siku chache kabla ya kutenguliwa kwa uteuzi wa ndugu Faustine Ndugulile na Merdad Kalemani, tulishuhudia Wizara zao zikiingia makubaliano ambapo TANESCO walikubali kutumia miundombinu yao kusambaza mkongo wa taifa majumbani ili kuwezesha wananchi kupata huduma za internet, simu na Tv kwa gharama nafuu.
Kuna tetesi kuwa makubaliano haya yaliwakera sana matajiri wanaomiliki makampuni ya mawasiliano kwani huenda wangepunguza wateja wao, pia inaelezwa kuwa watoa huduma za visimbuzi nao hawakupenda mradi huu hivyo wakawasemea kwa mama kuwa mradi huu utapunguza wawekezaji na mama bila ajizi akawapumzisha.
Sijui kama ni tetesi tu au ndivyo ilivyo, nataka Serikali iseme kama mradi huu utaendelea au hautafanyuka, endapo hautafanyuka basi tetesi hizi zitanishawishi, kama utafanyika basi mnaonena chini chini mkome kuzusha mambo. View attachment 1936747
Sasahivi ata mchanganuo hawatoi tena kama zamani kuwa haya na makato, hii ni VAT na Tozo hawatoi zaidi wanajumlishia kwenye VAT basHivi jamani ile 40% punguzo la tozo limetimia au bado. Naomba mrejesho kwa wanaotumia huduma za mobile money. 30% serikali na 10% service provider
Siku chache kabla ya kutenguliwa kwa uteuzi wa ndugu Faustine Ndugulile na Merdad Kalemani, tulishuhudia Wizara zao zikiingia makubaliano ambapo TANESCO walikubali kutumia miundombinu yao kusambaza mkongo wa taifa majumbani ili kuwezesha wananchi kupata huduma za internet, simu na Tv kwa gharama nafuu.
Kuna tetesi kuwa makubaliano haya yaliwakera sana matajiri wanaomiliki makampuni ya mawasiliano kwani huenda wangepunguza wateja wao, pia inaelezwa kuwa watoa huduma za visimbuzi nao hawakupenda mradi huu hivyo wakawasemea kwa mama kuwa mradi huu utapunguza wawekezaji na mama bila ajizi akawapumzisha.
Sijui kama ni tetesi tu au ndivyo ilivyo, nataka Serikali iseme kama mradi huu utaendelea au hautafanyuka, endapo hautafanyika basi tetesi hizi zitanishawishi, kama utafanyika basi mnaonena chini chini mkome kuzusha mambo. View attachment 1936747
Hiyo mizi 6, Maza kadai alikuwa anajifunza .....!!Huo ni ujinga na upofu, maza kawapima kwa miezi 6 sio kwa tukio moja na tumwache maza aongoze nchi
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Ulitaka waondolewe kwa ushawishi wa maskini? Bado mtaongea yoteSiku chache kabla ya kutenguliwa kwa uteuzi wa ndugu Faustine Ndugulile na Merdad Kalemani, tulishuhudia Wizara zao zikiingia makubaliano ambapo TANESCO walikubali kutumia miundombinu yao kusambaza mkongo wa taifa majumbani ili kuwezesha wananchi kupata huduma za internet, simu na Tv kwa gharama nafuu.
Kuna tetesi kuwa makubaliano haya yaliwakera sana matajiri wanaomiliki makampuni ya mawasiliano kwani huenda wangepunguza wateja wao, pia inaelezwa kuwa watoa huduma za visimbuzi nao hawakupenda mradi huu hivyo wakawasemea kwa mama kuwa mradi huu utapunguza wawekezaji na mama bila ajizi akawapumzisha.
Sijui kama ni tetesi tu au ndivyo ilivyo, nataka Serikali iseme kama mradi huu utaendelea au hautafanyuka, endapo hautafanyika basi tetesi hizi zitanishawishi, kama utafanyika basi mnaonena chini chini mkome kuzusha mambo. View attachment 1936747
Hapo naona kama ndio wametuingiza cha kike bila mchanganuo kuna shida katika hili ila unaweza kutusaidia kama umetumia je total ni less charges au less kwa maana ya ujumla.Sasahivi ata mchanganuo hawatoi tena kama zamani kuwa haya na makato, hii ni VAT na Tozo hawatoi zaidi wanajumlishia kwenye VAT bas
Alafu anawarudisha wale walofeli kipindi cha nyuma hakika tusipoamuka watz tutaendelea kuwa masikini daimaSiku chache kabla ya kutenguliwa kwa uteuzi wa ndugu Faustine Ndugulile na Merdad Kalemani, tulishuhudia Wizara zao zikiingia makubaliano ambapo TANESCO walikubali kutumia miundombinu yao kusambaza mkongo wa taifa majumbani ili kuwezesha wananchi kupata huduma za internet, simu na Tv kwa gharama nafuu.
Kuna tetesi kuwa makubaliano haya yaliwakera sana matajiri wanaomiliki makampuni ya mawasiliano kwani huenda wangepunguza wateja wao, pia inaelezwa kuwa watoa huduma za visimbuzi nao hawakupenda mradi huu hivyo wakawasemea kwa mama kuwa mradi huu utapunguza wawekezaji na mama bila ajizi akawapumzisha.
Sijui kama ni tetesi tu au ndivyo ilivyo, nataka Serikali iseme kama mradi huu utaendelea au hautafanyuka, endapo hautafanyika basi tetesi hizi zitanishawishi, kama utafanyika basi mnaonena chini chini mkome kuzusha mambo. View attachment 1936747
Kalemani mbonà kafanya kazi vema? Ndungulile bando zilimshinda, huyo sawaWame underperform TUACHE kuwaza ujinga Ndugulile umtetee Kwa lipi?
CCM ishaoza yote
Yapi hayo?ukiangalia hii picha utagundua huwenda kuna mambo ya chini chini kalemani alikua anayafanya ila Rais akayajuaView attachment 1936897