Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua kwa sababu zipi mpaka wafikie kumuua jukwaani?, lakini waliopanga hayo mauaji ni wanafunzi maana muuaji ambaye anaweza kuweka sumu kwenye mic ni mtu professional killer lakini mbona wameacha ushahidi mwingi kiasi hicho
Kwani Uchaguzi wa Congo lini, Na kwanini Auwawe Papa Wemba? Nakumbuka Komba alisemaga Yeye Na Lowassa tu, Wakaanza Kutoa picha za kumchafua, Benki ikaanza kuandama deni lake Na Kisha akafa Kabla hata watu Hawajaenda Dudu Uma!Mambo ya uchaguzi hayo
Watakuwa Labda Ni watu Professional, Lakini Kwa Kutokutaka Kustukiwa wakamtafuta Msaliti wakamlipa na wakamwelekeza cha kufanya. Si Mnakumbuka Msemo wangu Wahalifu wanafuata kufuta Ushahidi, hadi Mdomo wa Mamba? asingekuja Mara ya Mwisho Kuchukua ile Mic, angalau asingestukiwa.
Sijajua kwa sababu zipi mpaka wafikie kumuua jukwaani?, lakini waliopanga hayo mauaji ni wanafunzi maana muuaji ambaye anaweza kuweka sumu kwenye mic ni mtu professional killer lakini mbona wameacha ushahidi mwingi kiasi hicho
Lakini jamaa huyu si alikuwa na ugonjwa wa moyo kwa muda mrefu, actually alilazwa hospitalini kwa wiki moja kutokana na tatizo la moyo, Daktari wake alimshauri apumzuke kwa mwezi+ lakini yeye kapuuzia ushauri na kwenda kwenye tamasha kabla hali yake haijatengamaa vizuri.
Mshindo mkubwa wa sauti ya gitaa la besi ni hatari sana kwa watu wenye matatizo ya moyo hasa hasa kama ujapumzika vizuri baada ya kuruhusiwa kutoka hospitalini, resonance frequency ya moyo wako au mapafu yako yaki shabiana/lingana/fanana na frequencies zinazo tokana na mshindo mkubwa wa sauti ya gita la besi basi moyo unatingisika kwa kufuatia sauti ya besi hii inaweza kukusabishia heart attack ukapoteza maisha, hicho ndicho kilicho tokea kwa Papa Wemba - haya mambo ya kusema kawekewa sumu kwenye mike hayana ukweli wowote.
MKUU, hakuna ukweli wowote huyo jamaa kafa a natural death.
Tukiweka pembeni nayo ya Papa Wemba, huu sasa ndio mjadala wa nguvu. Kuhusu Komba nakiona kabisa kitu kimefichika hapo, ni wajibu kichimbuliweKwani Uchaguzi wa Congo lini, Na kwanini Auwawe Papa Wemba? Nakumbuka Komba alisemaga Yeye Na Lowassa tu, Wakaanza Kutoa picha za kumchafua, Benki ikaanza kuandama deni lake Na Kisha akafa Kabla hata watu Hawajaenda Dudu Uma!
Je Mnakumbuka Horace Kolimba alivyokuwa akisema CCM haina Dira wala Mwelekeo akaitwa Kuhojiwa na Kisha akaanguka ghafla na Kufa! akiwa kwenye Mic!
LeoHivi hajazikwa tu?
Jamaa anamletea PW Wireless Mic katika stand (Pengine ilikuwa na sumu Tayari) Baada ya Muda Jamaa yuleyule anakuja na Kuchukua ile Mic na kutokomea nayo (Pengine alihisi sumu haitoshi akaenda kuongezea Dose) Jamaa anakuja na Mic ikiwa Vilevile kwenye stand, Anamwekea PW, halafu anaondoka kuelekea alikotoka. Muda Mfupi PW anaanguka ghafla, Watu wanamzunguka kusaidia. Jamaa yuleyule anatokeza tena. Cha kwanza Badala hata ya Kushangaa, au hata kwa Udaku tu kuinama na Kujua PW yupo katika hali gani, Yeye Bila Kustushwa anachukua Mic ile tena, Anasogea Kidogo, anacheki Noma! Kisha anatokomea Nayo. Mwanzo Unaweza Kusema Kuwa labda Kuisogeza Mic Pembeni ni sawa ili Kupisha watu Kumsaidia PW, Lakini Lengo lake linaonekana wazi, Anachukua Mic na Kuondoka Bila Kujali au Kushangaa aliyeanguka kimempata Nini au yu hali gani. Ungedhani Mtu anayehangaika na Mics awe mhudumu na angekuwa mstari wa Mbele kusaidia. Huyu Hakuwa Ndiye "Hit Man"?
Kifupi mkuu alikuwa akitoka huko anarudi Congo kumfanyia kampeni bosi wa tp mazembe ambae anagombea uraisi nakabila hapo jiongeze
Safi sana. Yule jamaa ni msaidizi kama walivyowasaidizi wengine,pia kama aliweka sumu basi wataalamu wa sumu watafuatilia na kutoa taarifa. Wanamziki wote wa Congo wana wasaidizi wao wanaofahamika na uongozi,huwezi enda kubadiri mic pasipo kutambulika.Lakini jamaa huyu si alikuwa na ugonjwa wa moyo kwa muda mrefu, actually alilazwa hospitalini kwa wiki moja kutokana na tatizo la moyo, Daktari wake alimshauri apumzuke kwa mwezi+ lakini yeye kapuuzia ushauri na kwenda kwenye tamasha kabla hali yake haijatengamaa vizuri.
Mshindo mkubwa wa sauti ya gitaa la besi ni hatari sana kwa watu wenye matatizo ya moyo hasa hasa kama ujapumzika vizuri baada ya kuruhusiwa kutoka hospitalini, resonance frequency ya moyo wako au mapafu yako yaki shabiana/lingana/fanana na frequencies zinazo tokana na mshindo mkubwa wa sauti ya gita la besi basi moyo unatingisika kwa kufuatia sauti ya besi hii inaweza kukusabishia heart attack ukapoteza maisha, hicho ndicho kilicho tokea kwa Papa Wemba - haya mambo ya kusema kawekewa sumu kwenye mike hayana ukweli wowote.