Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely!hoja yako nini?! we hujui hata mnayejifunika naye shuka kila siku anaweza kukuua?! je utasema 'mamna kitu hapo huyo ni mke/mme wake?!'
Mkuu nazungumzia kuhusu video Na kinachoonekana, sizungumzii hisia Kama zako!
Titina capone nilimkubali penye utunzi wa tour eiffel kile kibao kwangu mimi kimetulia.
poa! ndugu nimeuona. kweli inatisha ila ni vyema walivyoamuwa kujitesa wenyewe kuliko kutesa wenzao. kujipaka mkojo na kumeza churaaMbona tayari keshaweka...rudi nyuma page ya 5 nafikiri utaona.
Shukran nitaitafuta.Siyo Capone Mkuu ni Alcapone. Jitahidi pia usikilize nyimbo iliyotungwa na Mwanafunzi wake mpiga drums wa sasa wa Wenge Musica BCBG Fundi Seguen Mignon Maniata uitwao PACTE DIVON utarudi kunipa mrejesho humu. Hiyo nyimbo ipo katika Album ya INTERNET na ni kibao namba nane ( 8 ).
Genta, ni wewe unayeandika hivi au..?
Eenhe..kabesa kawaje..?
Kwani kuna Gentamycine wangapi humu JF? Maswali ya kitoto siyapendi tafadhali.
hivmkuu report ya madaktar ikitoka na kuthibisha alikufa kwa presha na nk hutoona aibu ????Habari wanaJf
Mimi ni mmoja wa watu walioguswa sana na kifo cha nguli wa muziki wa lumba barani Afrika papa wemba, hivyo nimekua nikiangalia mara kwa mara sana clip zinazoonesha tukio la kudondoka kwake jukwaani na kupoteza maisha moja ya clip hiyo ni hii itazame kwa makini
halo news: This is the moment an African rumba singer collapsed on stage mid-way through a song
Ukiingalia kwa umakini clip hizo utagundua na kuungana nami kuwa kifo chake kinatokana na sumu zinazotumika kupitia mic kama ambavyo ziliwahi kuwaondoa wasanii wengi huko nyuma hasa wa kutoka DRC Congo
Papa wemba anadondoka chini mmoja wa wale crew badala ya kwenda kutoa msaada anawaacha wale wanenguaji watoe msaada yeye anakimbilia ile Mic aliyokuwa akiitumia Papa Wemba anaichukua na kuondoka nayo na kuacha nyingine zote kwanini??
Kwa wale wasiojua hii imekuwa njia maarufu sana ya kummaliza msanii kwa wale wabaya wake.
Karibu kwa mjadala
Mkuu hivyo si ni vitu vinapikwa tuhivmkuu report ya madaktar ikitoka na kuthibisha alikufa kwa presha na nk hutoona aibu ????
Kakojoe ulale haya mambo yanahitaji utumie akili pana zaidi kuyajadili na kuyatambua, tatizo lako umezaliwa juziAcha umbea.