Ni kweli Papa Wemba kauawa na sumu iliyowekwa kwenye Mic?

Ni kweli Papa Wemba kauawa na sumu iliyowekwa kwenye Mic?

Oooooh, ahsante mkuu. Basi kama kwenye hizo clips kuna malumbano ni kiashiria kwamba hata hapa JF kuwepo na wakanushaji kutoka pande mbili (wanaounga mkono madai ya kuwepo sumu kwenye mic na wanaopinga) ni sahihi kabisa. Hivyo hakuna haja ya upande mmoja kudai kuwa uko sahihi as long as no one can validate what he/she claims to have been the cause of our rhumba icon's death who has abruptly left us in profound grief.
Nakukubali Mkuu
 
Sijajua kwa sababu zipi mpaka wafikie kumuua jukwaani?, lakini waliopanga hayo mauaji ni wanafunzi maana muuaji ambaye anaweza kuweka sumu kwenye mic ni mtu professional killer lakini mbona wameacha ushahidi mwingi kiasi hicho
Yawezekana walita ulimwengu ujue kuwa ameuawa!
 
Hiyo sumu inaitwa'' Polonium 210 is a chemical element'' with symbol PO and atomic number 84,

A rare and highly radioactive element with no stable isotopes.
Polonium is chemically simiral to bismuth and tellerium and it occurs in uranium ores.
Application of polonium are sparse and include heaters in space probes.
Antistatic devices or as source of neutrons and alpha particles.
NOTE;
Polonium is highly dangerous toxic substance.
Refer the death of Alexander Litvinenko.
Polonium 210 is a problem to human being only when it gets into the body,
The radioactive substance can enter into the body by eating or drinking contaminated things ,by breathing contaminated air or inhaling or ingesting body
fluids from someone contaminated with it.
kwa kesi ya Papa Wemba itabidi kusubiri uchunguzi wa kitaalamu na Madaktari bingwa ndio watasema ukweli na hii inategemea familia yake .
Mnunulisho wa hii sumu ya polonium 210 inaonekana kama hatua ya mwisho wa mgonjwa wa kansa,
inaathiri Maini,Figo,na mfumo wa hewa na maumivu makali ya kichwa.
Ata baada ya kifo cha Yasser Arafat kulikuwepo na uvumi wa aina hiyo lakini mamlaka za Palestina mpaka leo zinakanusha kwamba ni kifo cha kawaida tu.

Hii sumu, Haiwezi Kuua In ninutes hasa kwa Kuivuta. Ziko sumu Nyingine zinazoweza Kuua in Minutes Kwa kuivuta kwa mfumo wa hewa. Nyingine hata Ni za Mimea ya asili na Nyingine Ni Viungo vya baadhi ya Wanyama. Na sii vigumu Kupatikana. Lakini as a responsible person. Siwezi Kuzitaja hapa.
 
Maelezo mazuri ingawa unaweza kuwa unapotosha...Ukiiangalia vizuri ile video yule mtoa mike alionekana kabisa ananyatia, the guy seemed not an official assistant of PAPAA WEMBA, he was the asshole bitch with coward action!!

Na hata kama angekuwa Ni mojawapo ya Timu ya PW, Bado anaweza akawa Ni Msaliti na alilipwa Kufanya hivyo! Nakubali Kuonyesha Mtizamo tofauti, lakini Ukikanusha au Ukikubaliana na jambo lenye utata ikiwa huna uhakika 100% usitumie misuli sana Kulazimisha hoja yako, Nenda polepole! Naungana na wewe Kwenye Kumjibu msemaji aliyepita
 
Masikini papa wemba sijui atamueleza nini mungu wake,kafia katikati ya tope la shetani kafa kazungukwa na wanenguaji waliovaa vichupi,tusimsahau mungu jamani

Hayo ni mawazo yako mkuu. Mungu wetu ni mwema.Alimpa kipaji ni yeye sasa angekula wapi? Sadaka?
Tusijaribu kumuhukumu maana hukumubni yake Mwenye Enzi .
 
Koffi Olomide hapandi jukwaani hadi aende chooni na kujipaka mkojo wake huku JB Mpiana kila akienda kupanda jukwaani lazima ammeze chura, Werrason kila akienda kufanya onyesho lake basi lazima alale na sokwe chumbani kwake ( hapa simaanishi kuwa anafanya nae mapenzi ), Zaiko langa langa wakiwa na onyesho basi lazima watoe kafara ya Mtu ( hakuna onyesho la Zaiko langa langa likimalizika tu asife Mtu ndani au nje ya ukumbi, Extra Musica ile ya Kiongozi wao mpiga gitaa maarufu la solo Ibambi Ikombi ( wengi mnamjua kwa jina la Roga Roga ) hawapandi jukwaani hadi waogee maji ya maiti ambayo hutunzwa katika kifaa maalum, Fally Ipupa na Ferre Gola wanatumia uchawi wa aina moja ambao kama wakiwa nchini DR Congo na wana onyesho basi huenda kulala ndani ya jeneza kwa masaa machache kabla ya kwenda ukumbini na Fally Ipupa aliamua kutumia huu uchawi baada ya kushtukiwa na Wanamuziki wenzake kuamua kumtoa kafara Mama yake Mzazi ili album yake ya kwanza ambayo imemtambulisha, kumpa umaarufu mkubwa na kumtajirisha ya " bakandja " ifanikiwe, huku Hayati Pepe Kalle yeye alikuwa akipendelea sana kufanya mapenzi na wale mbilikimo ( eskimo ) kisha anawatoa kafara ya kuwauwa kishirikina na mwisho ni Hayati Madilu System ambaye yeye uchawi wake mkubwa na ambao kila mwana Congo anaujua ni tabia yake ya kupenda kuishi na majini huku akiwafanya ndondocha wana muziki wake ambao huwaona kinyota wako vizuri. Nadhani kwa ufafanuzi huu kuntu kidogo nitakuwa nimekidhi haja yako ya moyo na pia kuwa na faida kwa wengine pia.
habar za leo mkuu..


uliahidi utakuja na uzi kuwahusu wanamuziki wakongo wanavyotumia ndumba.

ukiacha hilo pia ninaomba msaada wa kumpata "mtaalam" wa kunikerekebshia mambo yangu kama itawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema ukweli sijapata nafasi ya kuitizama ila kidogo Mkuu wangu nina uzoefu na hawa Wanamuziki hasa wa miziki hii ya dansi ya Kikongo na hata hapa kibongo bongo kwa hizi bendi zetu pia. Sitaki uamini 100% yale maelezo yangu kwani yawezekana ikawa ni Sumu kama usemavyo ila nimekuelezea tu kwa uzoefu wangu na ni ngumu mno kuwekewa SUMU katika Mic anayoenda kutumia isipokuwa ungeniambia kuwa alifanyiwa UCHAWI ningekuamini kwa asilimia zote kwani hakuna Mwanamuziki unayemjua Wewe wa DR Congo ambaye HAROGI. Kuna siku nitakuja na UZI hapa nikuambie UCHAWI wa wote hao hasa hasa Koffi Olomide, JB Mpiana, Werrason, Roga Roga wa Bendi ya Extra Musica, Zaiko Langa Langa, Hayati Pepe Kalle, Hayati Madilu System na hawa vijana wa sasa wawili Fally Ipupa na mwenzake Fere Gola. Mkuu nikikuambia wanayoyafanya unaweza hata ukaogopa kulala au ukazichukua dvd zao hapo ulipo sasa na ukazichoma moto! Wanamuziki ambao najua walikuwa HAWAROGI ni Hayati Franco na Hayati Tabu Ley pekee.
Huo uzi bado mkuu?
 
Back
Top Bottom