Ndege ya Rais imekuwa tracked mara nyingi ikielekea Oman kwa siri sana! Sijui huwa inapeleka nini kwa wajomba!
Huyu mama kisha tufanya wanaume wote wa Tanganyika mahanithi!
profesa ASad ni wa kumwondoa, sio professional, ana hisia za udini na usiasa hawezi kuwa neutral. bora uweke hata mtu asiye na masters kuliko yule profeseri. regardless of dini.