Ni kweli Rais Samia na Serikali hawakujua kuwa bilioni 100 haiwezi kuleta suluhu lolote kwenye hali ya mafuta na mfumuko wa bei? Tunakwama wapi?

Ni kweli Rais Samia na Serikali hawakujua kuwa bilioni 100 haiwezi kuleta suluhu lolote kwenye hali ya mafuta na mfumuko wa bei? Tunakwama wapi?

Kati ya Jambo linaloshangaza wengi hadi sasa ni kitendo cha serikali kushindwa kujua kuwa billion 100 isingekuwa Suluhu la ongezeko kubwa la bei ya mafuta ya petrol na dizeli.

Watanzania wengi wasiolewa mambo walidhani kuwa ikiweka billion 100 basi kila kitu kuanzia mafuta na bidhaa zingine zitakuwa nafuu au baadae zitakuwa nafuu lakini ukweli ni kwamba hali inaonesha wazi kuwa mafuta yataendelea kupanda na bidhaa zitaendelea kupanda!

Ni nani aliyemshauri na kumshawishi Rais Samia kuwa billion 100 ruzuku itakuwa suluhu na si kuondoa mlolongo wa tozo zilizopo kwenye mafuta?

Hivi Rais Samia na washauri wake kwanini hawakufikiri kwamba kupunguza mlolongo wa tozo zilizo jaa kwenye uingizaji wa mafuta inaweza kuwa suluhu kubwa kuliko kuchukua billion 100 pesa za walipa kodi na kuzipoteza bure?

Kuna ugumu gani kupunguza au kuondoa tozo za mashirika zaidi ya kumi kwenye mafuta?

Hivi kuwambia watanzania mafuta yamepungua kwa Tsh 150 si ni kuwatania na kuwafanya wajinga?

Kwanini tumetekeza billion 100 na hazijaleta suluhu yeyote?

Bidhaa zote zimepanda bei na zinapanda kila siku na hata bidhaa za stationary na ujenzi zinazidi kupanda na kila mtu anasema shida ni kupanda kwa mafuta!

Hii Tsh 150 itasababisha kushuka kwa nauli na hizo bidhaa? Kwanini tumepoteza tena billion 100 bila sababu?
Hizo b 100 una hakika zilitolewa mkuu?Siasa na sihasa labda.
 
Kati ya Jambo linaloshangaza wengi hadi sasa ni kitendo cha serikali kushindwa kujua kuwa billion 100 isingekuwa Suluhu la ongezeko kubwa la bei ya mafuta ya petrol na dizeli.

Watanzania wengi wasiolewa mambo walidhani kuwa ikiweka billion 100 basi kila kitu kuanzia mafuta na bidhaa zingine zitakuwa nafuu au baadae zitakuwa nafuu lakini ukweli ni kwamba hali inaonesha wazi kuwa mafuta yataendelea kupanda na bidhaa zitaendelea kupanda!

Ni nani aliyemshauri na kumshawishi Rais Samia kuwa billion 100 ruzuku itakuwa suluhu na si kuondoa mlolongo wa tozo zilizopo kwenye mafuta?

Hivi Rais Samia na washauri wake kwanini hawakufikiri kwamba kupunguza mlolongo wa tozo zilizo jaa kwenye uingizaji wa mafuta inaweza kuwa suluhu kubwa kuliko kuchukua billion 100 pesa za walipa kodi na kuzipoteza bure?

Kuna ugumu gani kupunguza au kuondoa tozo za mashirika zaidi ya kumi kwenye mafuta?

Hivi kuwambia watanzania mafuta yamepungua kwa Tsh 150 si ni kuwatania na kuwafanya wajinga?

Kwanini tumetekeza billion 100 na hazijaleta suluhu yeyote?

Bidhaa zote zimepanda bei na zinapanda kila siku na hata bidhaa za stationary na ujenzi zinazidi kupanda na kila mtu anasema shida ni kupanda kwa mafuta!

Hii Tsh 150 itasababisha kushuka kwa nauli na hizo bidhaa? Kwanini tumepoteza tena billion 100 bila sababu?

Watanzania huwa hatuweki kumbukumbu sawa,Rais Samia alitoa tozo ya mafuta Tsh 100 sawa na Tsh 100bilion akaja akagundua kuwa kutoa Tsh 100 serikali itakuwa na hadhara ya Tsh 100 bilion. Akarejesha tena tozo ile ile ya Tsh 100 Ili kupata tena Tsh 100 bilion alizokuwa amezikosa.​

Sasa alichokifanya ni mahesabu ambayo hayahitaji kuwa na degree, amerudia Zoezi la awali la kuoa tozo ya Tsh 100 akaja na tafsiri mpya ya kusema ametoa ruzuku ya Tsh 100bilion Wabunge wanapiga makofi.​

Kwa mantiki hiyo Hakuna unafuu utakao patikana.​

Kazi iendelee tukutane 2025 Free man mbowe Akiwa makamu wa pili wa Rais .​

 
Walichofanya ni kujaribu kucheza na saikolojia za watu, hakuna la maana lililofanyika kwani hilo wanaloita punguzo halitashusha gharama za usafirishaji hata kwa senti tano........kama ni nauli za mabasi na daladala bei itakuwa palepale na kadhalika kusafirisha bidhaa mkito utabaki uleule. Tofauti ingekuwepo kama wangeondoa elfu moja kwenye bei zilizokuwepo.
 
Hivi nyie na akili zenu mlikua hizo pesa zimetolewa kusaidia mafuta??


Toka zimetolew Kuna ahueni ??

Hizo Pesa zimeingizwa kwenye mifuko ya watu ,wahuni waliumizwa miaka 5 ya JPM, Sasa ndo Pesa zao zinarudishwa .

Aiseeeeeee
 
Kna mtu nimemwambia hili suala...hiz pesa zimetafunwa ndio maana wanatumia sana nguvu kutushawishina kwenye document ya bei za ewura wameweka na heading kabisa "JINSI RUZUKU YA BIL 100 ILIVYOPUNGUZA BEI" upumbaaaav mtuup

Hahahaha yani mtu anaweka billion 100 kupunguza 150 kwenye mafuta aiseee
 
Walichofanya ni kujaribu kucheza na saikolojia za watu, hakuna la maana lililofanyika kwani hilo wanaloita punguzo halitashusha gharama za usafirishaji hata kwa senti tano........kama ni nauli za mabasi na daladala bei itakuwa palepale na kadhalika kusafirisha bidhaa mkito utabaki uleule. Tofauti ingekuwepo kama wangeondoa elfu moja kwenye bei zilizokuwepo.

Uzuri watanzania wana akili sana uwezi kuwadanganya bei zimeshuka wakati wanaona kabisa!
 
Uwekaji wa 100 billion umeleta nafuu sana kwa bei ya mafuta. Punguzo la 300 Tshs kwa lita ni kubwa ingawa halijakidhi kiu yetu.

Kwa mujibu wa serikali kuondoa tozo kutaanza mwaka wa fedha July 1 baada ya bajeti.

Kwa sasa tozo zilishapangiwa matumizi so tungoje mwezi ujao.
300? Ndio imepungua?
Bei ilikua 3156, sasa hivi ni 2994. Hapo utofauti ni 300?
 

Watanzania huwa hatuweki kumbukumbu sawa,Rais Samia alitoa tozo ya mafuta Tsh 100 sawa na Tsh 100bilion akaja akagundua kuwa kutoa Tsh 100 serikali itakuwa na hadhara ya Tsh 100 bilion. Akarejesha tena tozo ile ile ya Tsh 100 Ili kupata tena Tsh 100 bilion alizokuwa amezikosa.​

Sasa alichokifanya ni mahesabu ambayo hayahitaji kuwa na degree, amerudia Zoezi la awali la kuoa tozo ya Tsh 100 akaja na tafsiri mpya ya kusema ametoa ruzuku ya Tsh 100bilion Wabunge wanapiga makofi.​

Kwa mantiki hiyo Hakuna unafuu utakao patikana.​

Kazi iendelee tukutane 2025 Free man mbowe Akiwa makamu wa pili wa Rais .​


Hahahahaha yani nikama kujiibia na kuweka mfuko mwingine halafu unaanza kutafuta [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]
 
Kati ya Jambo linaloshangaza wengi hadi sasa ni kitendo cha serikali kushindwa kujua kuwa billion 100 isingekuwa Suluhu la ongezeko kubwa la bei ya mafuta ya petrol na dizeli.

Watanzania wengi wasiolewa mambo walidhani kuwa ikiweka billion 100 basi kila kitu kuanzia mafuta na bidhaa zingine zitakuwa nafuu au baadae zitakuwa nafuu lakini ukweli ni kwamba hali inaonesha wazi kuwa mafuta yataendelea kupanda na bidhaa zitaendelea kupanda!

Ni nani aliyemshauri na kumshawishi Rais Samia kuwa billion 100 ruzuku itakuwa suluhu na si kuondoa mlolongo wa tozo zilizopo kwenye mafuta?

Hivi Rais Samia na washauri wake kwanini hawakufikiri kwamba kupunguza mlolongo wa tozo zilizo jaa kwenye uingizaji wa mafuta inaweza kuwa suluhu kubwa kuliko kuchukua billion 100 pesa za walipa kodi na kuzipoteza bure?

Kuna ugumu gani kupunguza au kuondoa tozo za mashirika zaidi ya kumi kwenye mafuta?

Hivi kuwambia watanzania mafuta yamepungua kwa Tsh 150 si ni kuwatania na kuwafanya wajinga?

Kwanini tumetekeza billion 100 na hazijaleta suluhu yeyote?

Bidhaa zote zimepanda bei na zinapanda kila siku na hata bidhaa za stationary na ujenzi zinazidi kupanda na kila mtu anasema shida ni kupanda kwa mafuta!

Hii Tsh 150 itasababisha kushuka kwa nauli na hizo bidhaa? Kwanini tumepoteza tena billion 100 bila sababu?
Mshauri mwenyewe unaye msemea ni mwigulu mchemba.
 
Imenishangaza nilipoona mafuta imepungua sh100+ maana yake ukiiondo D'saalam,mikoa yote bado yapo kwenye 3000.

Rais,hii inatosha kuwapunguzia wananchi ukali wa maisha?
 
Ameongeza mishahara na posho bado hamliziki?
 
Huku kwetu imepungua 105 kwahiyo mafuta ni 3095. Hapo unakuta majitu yanataka nauli zishuke! Yaani ipungue 100 tu unataka nauli iwe Kama wakati mafuta yanauzwa 2300 seriously?

Mama hapo kapigwa mwingi
 
Imenishangaza nilipoona mafuta imepungua sh100+ maana yake ukiiondo D'saalam,mikoa yote bado yapo kwenye 3000.

Rais,hii inatosha kuwapunguzia wananchi ukali wa maisha?
Mkuu, hiyo pesa haitoshi na haimpunguzii maumivu mwananchi hata kidogo, ila Mimi naona ifike mahala kila mwananchi apambane kivyake kuliko kuililia serikali maana haitakaa kumsaidia mwananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo imepigwa fix tu, kwa hizi bei hakuna kitu wamefanya kupooza ukali wa maisha kwa mdanganyika....
 
Back
Top Bottom