Ni kweli Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music East Africa na Diamond ana hisa Zikiii?

Ni kweli Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music East Africa na Diamond ana hisa Zikiii?

Ndiyo ameanza subiri mletewe summons mtakutana naye kwa pilato.
.
IMG_20230304_191031.jpg
 
Music industry bongo ni ngumu na ina umafia sana toka enzi za kina Sugu na wasanii kibao walilia sana na Clouds Media ambayo ndo ilikua imeshika industry kwa enzi hizo. Zama hizi za digital industry imeshikwa na WCB/Diamond na vilio nishasikika sana tu kutoka kwa wasanii mbalimbali.

Mmakonde awe mpole tu aache ego na pride za kishamba akae na watoto wa mjini vizuri apige pesa yake maisha yaenda.

The World have Never been Fair.!

WCB ni ya Joseph Kusaga kina nasibu wote wako wameshikwa na Joe!
 
Jambo linalonifurahisha,
Sijui kweli au ni uongo ila hizi kelele wanazopigiwa wcb ndio zilezile walizojuwa wakipigiwa clouds na ruge ila kwa sasa wcb ina watetezi wengi watakwambia mikataba na biashara ila wakati ule wakimlaumu ruge hilo suala la biashara na mikataba hawakutaka kulisikia.

Ndio maana wcb ikafunguliwa kwa sababu malalamiko kwa clouds yalizidi!
Wote hao ni watoto wa joe na Ruge (rip)
 
Jambo linalonifurahisha,
Sijui kweli au ni uongo ila hizi kelele wanazopigiwa wcb ndio zilezile walizojuwa wakipigiwa clouds na ruge ila kwa sasa wcb ina watetezi wengi watakwambia mikataba na biashara ila wakati ule wakimlaumu ruge hilo suala la biashara na mikataba hawakutaka kulisikia.
Hii double standard yao ndio sijawahi kuielewa walah!!
Ama kweli binadamu ni mnafiki sana.
 
Ndiyo ameanza subiri mletewe summons mtakutana naye kwa pil

Hii double standard yao ndio sijawahi kuielewa walah!!
Ama kweli binadamu ni mnafiki sana.
Double standard ni ipi? Ruge alituumiwa kuwa anawatumia wasanii kuwalipa malipo madogo then ukiikataa unapigwa ban nyimbo zako kusikikika je diamond Platnumz anafanya hivyo?
 
WCB ni ya Joseph Kusaga kina nasibu wote wako wameshikwa na Joe!
Diamond anamiliki 45% ya shares na ndiyo CEO, dogo kichwa sana anajua kuitumia brand yake kwa faida.
Joseph hamiliki hata clouds, ni ya familia ya Kusaga na watoto wote wa Mzee Kusaga wana shares.
Jina lililopo kwenye shares ni la mke wa Joe hapo sasa wanajuana wao kama familia kwenye shares zao wanavyogawana, big issue ni kuwa Diamond ndiye CEO na maamuzi na mamlaka yote ya ki-CEO yako kwake. Dogo ni big brain.
 
Diamond anamiliki 45% ya shares na ndiyo CEO, dogo kichwa sana anajua kuitumia brand yake kwa faida.
Joseph hamiliki hata clouds, ni ya familia ya Kusaga na watoto wote wa Mzee Kusaga wana shares.
Jina lililopo kwenye shares ni la mke wa Joe hapo sasa wanajuana wao kama familia kwenye shares zao wanavyogawana, big issue ni kuwa Diamond ndiye CEO na maamuzi na mamlaka yote ya ki-CEO yako kwake. Dogo ni big brain.
Mkuu hapo na wewe umechanganya mambo kama huyo unayemjibu kuna WCB lebel, kuna Wasafi media hivi ni vitu viwili tofauti WCB lebel ndio mmiliki wa asilimia 💯 lakini kwenye media ndio ana share ya asilimia 45 sasa hapa tulikuwa tunajadili label sio media
 
Mkuu hapo na wewe umechanganya mambo kama huyo unayemjibu kuna WCB lebel, kuna Wasafi media hivi ni vitu viwili tofauti WCB lebel ndio mmiliki wa asilimia [emoji817] lakini kwenye media ndio ana share ya asilimia 45 sasa hapa tulikuwa tunajadili label sio media
Sorry for that, WASAFI media ndiyo anamiliki 45% wakati WCB record label anaimiliki kwa 100%.
 
Huyu mmakonde watamuua aisee, huku yule mzungu Sarah naye amekomaa anataka wagawane mali. Me nilijua ile haukuwa ndoa official kumbe siyo hivyo.
 
Baada ya Harmonize kulalamika kuwa wasambazaji wa kazi zake Zikiii wanakula sahani moja na WCB kumhujumu , wadau mbali mbali wameibuka na kuanza kunyetisha za ndani.

Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua.

Wakazi kamwaga mashairi na kusema kuwa Diamond ana hisa Zikii, hvyo harmonize mda wote amefanya kazi na diamond mpak sasa.

Wakazi anaandika.

View attachment 2535346

View attachment 2535347

Kwenye comment kuna mdau akaenda mbali zaidi kudai Sallam ni mwakilishi wa Apple music East Africa

View attachment 2535348

Ya kweli haya ??
Huyo WAKAZI ni ME kweli!?
Mbona maandishi yake yatia kichefuchefu...

Hawezi andika kiswahili tu.

Hovyo kabisaa
 
Back
Top Bottom