Ni kweli Simba SC ya sasa ina 'dema dema' na kukatisha Tamaa, ila Yanga SC nawaonya acheni Kubweteka, Kutudharau na Kumaliza maneno yote sawa?

Yes naunga mkono Hoja, Sisi Yanga tusijiamini Sana kiasi kwamba tukaona tumeshinda hii mechi ya tarehe 20.04.2024.

Yatupasa kuwa na tahadhari kubwa Sana tukishindwa kuwafunga makolo basi hata sare Inatosha kwetu .

Kiukweli hii game ijayo Nina wasi wasi moyoni kwangu ,ila all in all kila la kheri kwetu wananchi.
 
Wejamaautakuwa chizisiokwamatusihayo iposikuutavusnguo
 
Ifanikiwe kwa wachezaji gani?
 
Ifanikiwe kwa wachezaji gani?
Simba SC ile iliyotoka Sare ya 3 kwa 3 na Yanga SC ilikuwa na Wachezaji gani? Huna hadhi ya Kubishana nami juu ya Soka la Bongo hebu waache Mashabiki Werevu wa Yanga SC ninaowaelewa hapa kama akina Bila bila, Dr Matola PhD na Wengine waje tuzungumze Soka na Wewe tupishe tafahdhali sawa?
 
Wachezaji walewale uliosema washabiki wasipoteze muda wao kwenda uwanjani kushuhudia dhahama hiyo tarehe 20 April 2024?
 
Wacha watudharau tu lakini Simba tunajipanga kupambana ili tushinde.
 
โœ๏ธ๐Œ๐’๐„๐Œ๐€๐‰๐ˆ ๐Œ๐–๐„๐๐˜๐„ ๐‚๐• ๐™๐€๐Š๐„ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

โ€œUkienda kwenye Derby ya Kariakoo kwa mawazo kuwa umeshinda mechi tano mfululizo hii itakuwa ya sita utaingia chaka, ukienda Kwenye Derby kwa mawazo kwamba mpinzani wangu ni dhohofu hali utaingia chaka.

โ€œDerby ina umuhimu wake, ina upekee wake na ina ugumu wake, sisi kama Yanga hatuitazami Simba kama ninyi mnavyoitazama, sisi tunaitazama Simba kama timu Tishio ambayo tunawania nayo ubingwa, tunaitazama Simba kama timu yenye wachezaji wazoefu waliocheza michezo mingi mikubwa.

โ€œYanga tunaitazama Simba kama timu yenye viongozi makini, ukiniambia nitaje viongozi makini kwenye ligi, Simba siwezi kuwaacha, wanauzoefu na mipango ya kushinda mechi.

๐ŸŒ€Ally Kamwe.
๐Œ๐ฌ๐ž๐ฆ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐Š๐ฅ๐š๐›๐ฎ ๐ฒ๐š ๐˜๐š๐ง๐ ๐š.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ