Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
Yes naunga mkono Hoja, Sisi Yanga tusijiamini Sana kiasi kwamba tukaona tumeshinda hii mechi ya tarehe 20.04.2024.
Yatupasa kuwa na tahadhari kubwa Sana tukishindwa kuwafunga makolo basi hata sare Inatosha kwetu .
Kiukweli hii game ijayo Nina wasi wasi moyoni kwangu ,ila all in all kila la kheri kwetu wananchi.
Yatupasa kuwa na tahadhari kubwa Sana tukishindwa kuwafunga makolo basi hata sare Inatosha kwetu .
Kiukweli hii game ijayo Nina wasi wasi moyoni kwangu ,ila all in all kila la kheri kwetu wananchi.