Ni kweli Tanga ndipo mapenzi yalipozaliwa au tunapigwa?

Keleke tu, hakuna love Wala nn ,mapenz yapo ukereweee [emoji1787][emoji1787]
Kuna mtu aliwahi kuniambia huko siyo poa
Kwa sababu alikuwa ni mtu wa huko mwanza nikajisemea bado hajakutana na mabalaa
Sasa naanza kuamini
 
Watu wa Tanga mko wapi aisee,tunaambiwa mapenzi yalizaliwa huko kumbe mmefundishwa na watu wa kusini hata kufuzu hamjafuzu ila kelele tu[emoji28]


Thubutu!

Kwanza tatizo mojawapo kubwa ka wanawake wa kusini ni wengi wao kuwa vya wote, hawajui kukataa!

Huwezi kuwa naye peke yako mjue mtakuwa wanaume wengi kwa huyo mwanamke mmoja[emoji108][emoji108]

Wenyewe wana nsemo wao kabisa kuwa kunnyima ntu dhambi!
 
Huku ndio kwenyewe washamba na wapumbavu wivu utawaua ndo wanaponda wanawake wanajielewa kwanza kwa nafasi yao hawana mambo sijui 50/50 kama kenge wa bara
Wewe jamaa utakua na mimba ya mnyawezi..na akakutelekeza kwa tabia zako mbaya..umebaki kulia lia na kuleta chuki.

Nakushauri kaa kutulia ukilea mimba.

#MaendeleoHayanaChama
 
Daah..huu uzi ume bring back memories..kuna binti mmakua alichonifanyia kwenye miuno hakika hua nikikumbuka najiuliza sijapata jibu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu naunga mkono hoja kwa [emoji817] wamwera na wamakonde NI balaa...nimepata mwali wa kujua mambo ya kunoga aisee bwana wewe NI hatari.nineamua nioe kbs Huku japo mwanzo nikidhani kwamba nitarudi kaskazini kuoa
 
Wewe jamaa utakua na mimba ya mnyawezi..na akakutelekeza kwa tabia zako mbaya..umebaki kulia lia na kuleta chuki.

Nakushauri kaa kutulia ukilea mimba.

#MaendeleoHayanaChama
Acha ushamba chalii
 
Kuna mtu aliwahi kuniambia huko siyo poa
Kwa sababu alikuwa ni mtu wa huko mwanza nikajisemea bado hajakutana na mabalaa
Sasa naanza kuamini
Huko wanafanyaje,hakuna maji ya Iliki?
 
[emoji28] Ila watu wamekataa wanasema Tanga ni kelele tu haja hayo tunayosimuliwa hamna kitu
 
Mkuu naunga mkono hoja kwa [emoji817] wamwera na wamakonde NI balaa...nimepata mwali wa kujua mambo ya kunoga aisee bwana wewe NI hatari.nineamua nioe kbs Huku japo mwanzo nikidhani kwamba nitarudi kaskazini kuoa
Ulipotaja mtama Kwa nape na beach za Lindi,nikasema basi mwana harudi singida[emoji28]
 
Binafsi nimetoka nao wawili ila ni malaya sana.Sijajua kwa hawa niliokutana nao ama ni vipi.yani sio wachoyo kabisa[emoji1] nipo sinza njooni mnipige
[emoji28][emoji28],Kwahio kumbe tunapigwa mchana kweupe,vipi ulikuwa uanwekewa maji yenye manukato?
 
Cha wote ni sifa ya wagogo na warangi..watu wa kusini unawapakazia..Au nasema uongo ndugu yangu ndege JOHN ?
 
Daah..huu uzi ume bring back memories..kuna binti mmakua alichonifanyia kwenye miuno hakika hua nikikumbuka najiuliza sijapata jibu.

#MaendeleoHayanaChama
Kwanini usingeoa kabisa [emoji28]
 
Ulipotaja mtama Kwa nape na beach za Lindi,nikasema basi mwana harudi singida[emoji28]
Huku ndugu yangu nimeshapaelewa kote uzuri wa kazi zangu nazunguka mno kilwa masoko na kivinje yake,kiranjeranje,mchinga,Paris penyewe Lindi tumejengewa na mashujaa amusement park moja hatari ijo beach kbs PWANI Kuna hapo rutamba mabonde ya milola,mnaz mmoja mingoyo,mtwara,ruangwa, nachingweA,liwale yote selous yake sijui tunduru chimbo la Amazon I na terminal, kiuma, songea,nanyumbu,namtumbo kote huko mpaka mbinga kote nisharomb@ ila kiboko yao NI masasi Babu pale huchomoki Adam viaz na kibo mzee mwenzangu Kuna mademu Kama wote wenye mapenzi mengi..masasi pale huli night moja lazima tu utumie zaidi ya 100k maana Kuna Bata sijawahi kuona
 
Cha wote ni sifa ya wagogo na warangi..watu wa kusini unawapakazia..Au nasema uongo ndugu yangu ndege JOHN ?
Kwanza mademu wa kaskazini wamenyata miguu na shape hamna kitu NI rangi TU zinawabeba halafu kuhusu mapenzi me Nimromb wa kwetu singida ila wanaringa Sana kiburi kingi...Huku kusini wao hawana hizo kwanza mademu wanajua kunyenyekea hatari Tena wakijua una vihela hela utapendwa na wakwe mpk ushangae utapewa zawadi za Nazi mpk ukome..Kama me demu Wangu namromba daily ninavyosema daily I really mean it halafu hata hakatai Wala Nini mpk nashangaa Ina maana huyu hachoki tu haumii mtoto Wala anakususia mbususu ufe nayo ukarauge nayo unavyotaka mixer mauno ya kuzidi aisee niombeeni wakuu Nina mengi ya kuyaeleza ila Basi TU..
 
Ahahah [emoji28] umeshakuwa mmakonde..'mademu wa kaskazini wamenyata' siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…