Ni kweli Tanga ndipo mapenzi yalipozaliwa au tunapigwa?

Mkuu naunga mkono hoja kwa [emoji817] wamwera na wamakonde NI balaa...nimepata mwali wa kujua mambo ya kunoga aisee bwana wewe NI hatari.nineamua nioe kbs Huku japo mwanzo nikidhani kwamba nitarudi kaskazini kuoa
Safi mkuu,au umepigwa libwata hujielewi?[emoji3]
 
Km kutoa tigo ndy mapenzi,basi naweza Kusema Tanga na Zanzibar wanayajua mapenzi.Ila km ni mapenzi Kwa maana ya mapenzi yenyewe,basi ni wa kawaida sn
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu tanga hakuongozi kwa taraka,Tanga hakuna kesi ya mauwaji yaani unapata unachokitaka na kukiota
Isije ikawa limbwata ndio linashika watu hawachomoki,Je ni kweli mnawaandalia maji ya kuoga yenye mdalasini,Iliki na kuwabeba wanaume kwenda bafuni au ni kamba tu?
 
Hakuna uhusiano wowote kati ya mapenzi ya dhati na kudumu kwa ndoa au kuolewa sana kwa wasichana kwasababu ndoa ina pande mbili ktk kuidumisha so haimaanishi umemuoa mtanga basi wewe mgogo utamfanyia ufidhuli mwingi akuvumiliea kwasababa ni mtanga yalipozaliwa mahaba, haipo, itavunjika kwasababu ya ugogo wako haina mjadala imeisha.
 
Ndege JOHN unakula tu maisha.
 
[emoji3]Kama wanajua mapenzi kweli hata huo ufedhuli wa mume utayeyuka tu,we fikiria fedhuli karudi akiwa amelewa anawekewa maji ya manukato na anabebwa kwenda kuoga lazima atatulia tu,labda kama hizi sifa ni uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…