Wanabana matumizi ya pesa zao binafsi ili waweze kula na kusaza kifisadi pesa za maskini wanaokamuliwa kodi.Salaam wana JF, ...Niende direct kwenye point. Tanzania imepeleka watu 736 katika mkutano wa mabadiliko tabia ya nchi huko Dubai #Cop28
Msafara ambao unajumiasha viongozi,wafanyabiashara,makatibu,wasaidizi nk.. Je nani anagharamia tiketi? Maradhi? Posho? Za kwenda na kurudi mpaka mkutano huo utakapokua umekwisha za wajumbe wote kwa taifa ambalo tunakopa kila kukicha !? Nina maswali mengi emu tuanzie hapo kwanza.
Kuangalia orodha ya majina ya wajumbe wote wa msafara fungua link 👉🏿 Mwango Capital: List of Tanzanian Attendees of COP 28
Nakaribiisha maoni.
Hakika, kama taifa bado tuna safari ndefu sana kuja kupata wazelendo wa kweli kwa taifa hili.Wanabana matumizi ya pesa zao binafsi ili waweze kula na kusaza kifisadi pesa za maskini wanaokamuliwa kodi huku maendeleo yakiwa hayaonekani ila kwao wenyewe na familia zao.
Nchi maskini inayotegemea misaada ya wahisani inanunua mashangingi ya mabilioni kila mwaka wakati huo huo hospital hazina dawa na wanafunzi wanakaa chini. Mikopo ya elimu ya juu ni ya kusua sua.
Ukisikia watawala wanazungumza jambo wanakuwa wanajizungumzia wenyewe walio kwenye level moja sio wewe mlala hoi unaishi kwa kuunga unga. Yote wanayofanya ni kwa maendeleo yao binafsi sio wewe mwananchi maskini wanayekuona kama mbwa tu.
Nchi ngumu imagine hao watu wote kuwalipia hotel, tiketi,vyakula na posho🙌🏿Siku zote kwenye mambo ya kipumbavupumbavu yanayowahusu wao hela zipo ila ya maana yanayowahusu wananchi wengi hela hamna
😁😁True inabana sana
Ofisi ya raisi huwa haikaguliwi na CAGTunaomba CAG azifanyie ukaguzi ziara za mama, maana zinatia kinyaa.
Msoga in one and twoNimemuona na CEO Miraji Jakaya Kikwete.