Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kila siku wanabuni namna ya kuongeza matumizi makubwa yasiyoya lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaMsoga in one and two
CCM inahitaji wajinga wengi ili iendelee kutawalaHebu tuanze kuwa lama wenzetu na kufanya wenyewe kwa kuchanga hela na kufungua charity tuiite jf charity
Huu umasikini hautaisha labda tubadilike bila kuitegemea serikali sana
Hata wenzetu wana Charities za kila aina na kila leo wanachanga ili kwenye shida wasaidie
Misaada yao kwa wananchi ni mingi sana mpaka mingine kwa roho zao za huruma wanaamua kuwaletea na nyie
Kweli hii shule mtasema ni ya karne hii? Hebu tuanze kwa kusaidia ingawa hatuna utamaduni huo, ila kama mnataka mabadiliko ndio haya
Mloenda Ocean Road mbana mkaishia huko kwa safari mbili tu View attachment 2832056
Mpinzani wa kikosi cha mizinga enzi hizo...Nimemuona na CEO Miraji Jakaya Kikwete.
Kawaida tulisomaga hivyoo madawati tulichangia elfu 3 nakumbuka unarudushwa kama hunaHebu tuanze kuwa lama wenzetu na kufanya wenyewe kwa kuchanga hela na kufungua charity tuiite jf charity
Huu umasikini hautaisha labda tubadilike bila kuitegemea serikali sana
Hata wenzetu wana Charities za kila aina na kila leo wanachanga ili kwenye shida wasaidie
Misaada yao kwa wananchi ni mingi sana mpaka mingine kwa roho zao za huruma wanaamua kuwaletea na nyie
Kweli hii shule mtasema ni ya karne hii? Hebu tuanze kwa kusaidia ingawa hatuna utamaduni huo, ila kama mnataka mabadiliko ndio haya
Mloenda Ocean Road mbana mkaishia huko kwa safari mbili tu View attachment 2832056
Watu 736 ??! Ngumu kuamini hii !!Salaam wana JF,
Niende direct kwenye point. Tanzania imepeleka watu 736 katika mkutano wa mabadiliko tabia ya nchi huko Dubai #Cop28
Msafara ambao unajumiasha viongozi,wafanyabiashara,makatibu,wasaidizi nk.. Je nani anagharamia tiketi? Maradhi? Posho? Za kwenda na kurudi mpaka mkutano huo utakapokua umekwisha za wajumbe wote kwa taifa ambalo tunakopa kila kukicha !? Nina maswali mengi emu tuanzie hapo kwanza.
Kuangalia orodha ya majina ya wajumbe wote wa msafara fungua link 👉🏿 Mwango Capital: List of Tanzanian Attendees of COP 28
Nakaribiisha maoni.
Natamania kama kungekuwa na taratibu kama hiyo.Ofisi ya raisi huwa haikaguliwi na CAG
Hayo maisha kama unayaona kawaida basi mabadiliko hayakuja nchini hata miaka 100Kawaida tulisomaga hivyoo madawati tulichangia elfu 3 nakumbuka unarudushwa kama huna
Kama huyo aliesema ni kawaidaCCM inahitaji wajinga wengi ili iendelee kutawala
Ni aibuuuu kubwaaaaSalaam wana JF,
Niende direct kwenye point. Tanzania imepeleka watu 736 katika mkutano wa mabadiliko tabia ya nchi huko Dubai #Cop28
Msafara ambao unajumiasha viongozi,wafanyabiashara,makatibu,wasaidizi nk.. Je nani anagharamia tiketi? Maradhi? Posho? Za kwenda na kurudi mpaka mkutano huo utakapokua umekwisha za wajumbe wote kwa taifa ambalo tunakopa kila kukicha !? Nina maswali mengi emu tuanzie hapo kwanza.
Kuangalia orodha ya majina ya wajumbe wote wa msafara fungua link 👉🏿 Mwango Capital: List of Tanzanian Attendees of COP 28
Nakaribiisha maoni.
Eh unataka nimchangie nani ili kama serikali hawaoni tofauti wewe mwananchi ninani uone tofauti.Hayo maisha kama unayaona kawaida basi mabadiliko hayakuja nchini hata miaka 100
Kweli siamini haya niliyosoma
Kawaida? Haya
Daa pole sana sana, wapo wenye roho mbaya na kukushangaa unaposaidia ila hiyo isikufanye uache kusaidia pindi unapoona mtu ana uhitajiEh unataka nimchangie nani ili kama serikali hawaoni tofauti wewe mwananchi ninani uone tofauti.
Mimi nilikuwa nasaidia nilicho nacho wamama fulani kila mwezi nawapa vitu vya elfu ishirini na 5 maana ndio uwezo wangu na kama akiwa na shida ni elfu tano mahitaji yake basi kama 30 per month wakaja kupata mtu aliyewaajiri akawapa kila mitu anahela kiasi fulani wewe nilitukanwa hadi basi . Nimekoma aisee bossy ukimwona mtu maskini mwache wewe sio Mungu wake . Anajua kwanini amewapa hali hiyo na anajua atawasaidiaje kuna mtu anakupab25 per month kweli??
Majinavyapo ....Familia Chikwete pia ....Kizimkazi karibu nusu msafara......wamehazanaaaWatu 736 ??! Ngumu kuamini hii !!
Hebu tuanze kuwa lama wenzetu na kufanya wenyewe kwa kuchanga hela na kufungua charity tuiite jf charity
Huu umasikini hautaisha labda tubadilike bila kuitegemea serikali sana
Hata wenzetu wana Charities za kila aina na kila leo wanachanga ili kwenye shida wasaidie
Misaada yao kwa wananchi ni mingi sana mpaka mingine kwa roho zao za huruma wanaamua kuwaletea na nyie
Kweli hii shule mtasema ni ya karne hii? Hebu tuanze kwa kusaidia ingawa hatuna utamaduni huo, ila kama mnataka mabadiliko ndio haya
Mloenda Ocean Road mbana mkaishia huko kwa safari mbili tu View attachment 2832056
Kweli kabisa !Daa pole sana sana, wapo wenye roho mbaya na kukushangaa unaposaidia ila hiyo isikufanye uache kusaidia pindi unapoona mtu ana uhitaji
Usiangalie watasema nini bali fanya kwa mema tu
Sababu za nchi masikini kutokuendelea ni hizo za kutokusaidiana
Hela ambazo zingewasaidia watu wanakula wachache kwa tamaa zao
Angalia wenzetu Charities nyingi ndio zinasaidia wananchi na wanyama na viumbe wote na ndio maana wanaendelea, sio kila kitu kitoke serikalini pia bali hata sisi ni kusaidiana tunapopata kitu
Mimi natoa hela kwenye Charities na ni kawaida sana kwa watu wa huku
Wana maduka yao napeleka nguo mara nyingi na ndio zinatumwa kwenye nchi masikini na zingine zinauzwa hapa hapa maana hata Ulaya kuna maduka ya mitumba na watu wananunua na hela zinasaidia tena wahitaji
Saidia tu wala usikwamishwe na watu wabaya toa hata kwa siri
Asante MkuuKweli kabisa !
Ni aibu sana mkuu na inasikitisha sanaYani Hilo darasa linatisha Sana.
Kbs ingekua vyema kufahamu ofs ya namba moja inavyo spend mpunga.Natamania kama kungekuwa na taratibu kama hiyo.