Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Tundulisu je?
 
mkuu niconnect basi huko...
 
Tiss alimtaka mke wangu bwana.Wale jamaa kwa kujipenyeza nawakubal.Ghafla huyo.
Nilimtoa mbio hizo
 
MK what ?

Unaishi kwa wasiwasi tu , I am your brother.

Hahahaha
Nafarijika kuishi na watu hao, nafahamu vingi kupitia kwao.
Mengine makubwa mno

Kuna moja nataka nithibitishe baada ya tar 28. Eti hata boss anaweza asijue mipango inayoendelea?

Kwamba wanaume wameamua kujilipua. Liwalo na liwe.

Tusubiri, ikiwa ndivyo nitakualika chakula cha jioni
 
Kwamba wampe nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…