Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Huwa wanatumia ID tofaut tofaut na majina ya uongo.
Huwa nashangaa Kuna habari gani chuo?

Hivi Hawa jamaa wanaweza kuwa na account za fb au insta ambazo ni za muda mrefu au wanakuwa na zile za muda mfupi tu?
Kwasababu Kama wanazo za muda mrefu si watu watawajua tu
 
Huwa nashangaa Kuna habari gani chuo?

Hivi Hawa jamaa wanaweza kuwa na account za fb au insta ambazo ni za muda mrefu au wanakuwa na zile za muda mfupi tu?
Kwasababu Kama wanazo za muda mrefu si watu watawajua tu
huwa wanafundishwa jinsi gani ya ku pose kwenye mitandao. wakiwa na lengo la kulusanya taarifa bila kuwa exposed.
ikiwamo kutumia account fake, details fake na n.k
its all possible.
 
Naomba niwakumbushe idara hii nyeti kwa nchi ilikuwa na weledi wa kutosha na uzalendo enzi za mwalimu pekeyake kwa sasa hakuna kitu blah blah blah blah , kujisifu, uchawi, unafiki , umbea ,uongo, na zaidi wameingizwa kwenye siasa ndio kabisaaaaaaaaa state machinery ya nchi yoyote inayojitambua iko very organized na hawayumbishwi , hawa wakwetu ni empty sorry to say so. Nyie mnajua kubeba mabastola kiunoni ndio usalama stupid, kuna mambo mengi sana ya maana na ya msingi walitakiwa kufanya lakini nehi nehi nili nili nil kimsingi they are crap
 
kwa hiyo Dr.slaa alipovunjwa mkono,ngeu na damu kibao pale arusha serikali haikujua kama ni usalama wataifa siyo
 
Wanajuana, ila hawajuani assignment au duty zao. Anaweza akawa hapo bandari au airport lkn kumbe kazi yake kuchunguza namna kodi inavyokwepwa, wakati yupo mwingine same area ana deal na issue za drugs, wakati yupo mwingine hapo hapo ana chunguza utoroshwaji wa nyara!!!
 
jamaa wa tiss wenyewe ndio wanajua ukweli wa mambo yanayosemwa hapa ..... naona blaa blaa mkngi kila mtu mjuaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…