Anza kutafuta hela. Huko unakokutaka ni kugumu na mwisho wa siku unachokifuata huko ni hela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hela ni muhimu sana popote pale mkuu.Anza kutafuta hela. Huko unakokutaka ni kugumu na mwisho wa siku unachokifuata huko ni hela.
Kuunganishwa burebure TZ?Niunganisheni huko na mimi nikawe mwanausalama si kujitolea tu
tutalipana nikipata kazi mkuuKuunganishwa burebure TZ?
Ndio unafuata tu utaratibuRaia anaruhusiwa hii
kuna jamaa mmoja anaipenda hii ya unanijua mimi nani anaitwa dokta ayubu masters candidate MUHAS🤣
Critical thinking [emoji848]Ina maana wenyewe hawana kozi kama za majeshi ambayo inawafanya members kuendelea kujuana.? Au wenyewe kila mtu anapigishwa kozi yake kivyake huko wanapo jua?
Hawanaga depo?Wanafahamiana kama wako kwenye mishe moja ila kama hawako mishe moja hawajuani
Na kama wamekutana mazingira anaweza kuhisi kwa kuona tabia za mwenzake sijui nimeeleweka maana hata mwenyewe sijaelewa nilicho kiandika
Wapo kila sehemu Airport, Tanesco sijui bandarini kila sehemu wapo kwenye mashirika ya serikali mpaka private sema taarifa wanazozipenda watawala nizile kama wanahatarisha utawala wao lakini kwenye kila kitengo wapo tena wengi tu. Taarifa zao zinafanyiwa kazi inategemea na kiongozi anataka kujuwa nini shida viongozi wamejikita kwenye usalama wao sio upigaji ila kama wako serious kabla ya report ya CAG wanajuwa kila upigaji.Kuna wanaojuana, kuna wasiojuana, kuna wanao-wafanyia ujasusi wenzao uku nao wakifanyiwa ujasusi bila kuwajua wanaowafanyia ujasusi, kuna wanaofanyishwa kazi za usalama bila wao kujijua, iwe kwenye siasa, biashara, dini kote wapo majasusi.
Tatizo la ujasusi wa bongo umejikita kwenye kukusanya taarifa zaidi za mambo mbali mbali kusaidia utawala uliopo madarakani tofauti na wenzetu ambao wanajikita sana kwenye kuzuia hatari zote mbaya zizazohusu uchumi na siasa bila kuegemea upande wowote wa kisiasa.
TISS wanatakiwa kujikita kwenye ujasusi wa kiuchumi jinsi ya kutengeneza mabilionea, jinsi ya kupigana vita ya kiuchumi na mataifa jirani, kuhakikisha taarifa za kiujasusi wanazokusanya zinafanyiwa kazi haraka bila kuegemea upande wowote.
Ikulu ya dodoma! Geti la kwanza,la pili na la tatu! Endelea tu kutoa Siri za hapo!!Jamanieee hao usalama ni watu wa kawaida tu (hususani hawa wa hapa kwetu)
Tofauti kubwa iliyopo ni kwamba wanafanya shughuli zao kwa SIRI. Hapo ndio nguvu yao ilipo.
Hata wewe ukiweka maisha yako PRIVATE watu watakuwa wanakuogopa kwa kuwa hawakujui vizuri.
Hata Secret Societies kama Illuminati, Freemasonry, Klu Kla Klux et al zinatumia USIRI kama mbinu mojawapo.
Sababu nyingine: Kwa kuwa CCM inawatumia sana, hivyo imewapa nguvu fulani ( kuwaweka juu ya sheria kwa raia ) kiasi kwamba hata akikuonea huwezi kumfanya chochote.
Suala la kutoaminiana ni kawaida tu kwenye mambo ya ulinzi na usalama, hata walinzi hawaaminiani.
Na kuhusu kutojuana ni kawaida pia, hata mwalimu hajuani na walimu wote nchi nzima unless mmekuwa assigned sehemu moja.
Wanaruhusiwa pia kuwa na vifaa/silaha ambazo wewe raia huruhusiwi kuwa nazo kitu kinachowapa nguvu dhidi ya raia!
Mambo mengine yote ni yale yale.
Kwa kuongeza, nimewahi kuwa lindo moja na Hawa jamaa kwanza walikuwa wanalala tu, maana walikuja na tent na kitanda kikawekwa ndani. Bastola walikuwa wanakabidhiana ( taking and handing over ).
MkuuKila mtihani wa taifa kunakuwa na route za misafara ambapo kila ruti ina watu hawa;
(A) wasimamizi wakuu wa mitihani (supervisors- ambapo mara nyingi ni maafisa wa elimu )
(B) wasimamizi wa ndani wa mitihani (invigilators- yaani walimu)
(C) watu wa ulinzi wa mitihani (polisi na migambo)
(D) watu wa usalama wa mitihani (maafisa/watu kutoka ofisi ya usalama wa taifa)
Kulingana na utaratibu huo kwa wale wakongwe kwenye maswala ya usimamizi wa mitihani ya kitaifa imekuwa ni rahisi kwao kuwajua/kujuana wao kwa wao
Juzi kwenye mapokezi ya mwenge sasa kabla ya mwenge kufika sehemu ile ghafla ikaja gari na wakashuka watu kadhaa ambao kwa haraka haraka watatu waligundulika kuwa ni walewale ambao huwa wanakwepo kwenye mitihani kwa utambulisho wa kundi D. Walivalia locally tu kama kawaida yao, wakazunguka zunguka tu pale wakikagua kisha baada ya muda hao wakasepa kisha jioni ndipo mwenge ukafika pale
Sijui tu hata nimeandika nini hebu aliyeelewa anisaidie maana me mwenyewe sielewi
Maana yake ni nini Mkuu??.Zilongwa Mbali Zitendwa Mbali
Hawana lolote.Mbona wengine wananiexpose Facebook.kweli mkuu hawaaminiani pia hawana tabia za kupokea simu hovyo yaani unaweza kupiga simu mpaka basi na isipokelewe pia. Hawapendi kutembelewa.
Kupatwa kwa Afisa wa TISS.Ni kweli sisi kwa sisi hatufahamianani na pia kazi zetu hazitaki tufahamiane.
Sent using Jamii Forums mobile app