njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Is ready to play.Bluetooth..........?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Is ready to play.Bluetooth..........?
Wapo wanaofahamiana, lakiki pia wapo wasiofahamiana.Wanabodi, weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wana usalama/TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!
Hawaaminiani, hawajuani kivile!
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
😂Siyo kujuana na kuaminiana tuu, (TISS) hawajui hata wanafanya nini, yaani ni misukule ya utawala wa kidhalimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha weeeeeeee when?Is ready to play.
Hapo inatakiwa mtu talented, hawa wa kwetu naona wengi hawapatikani kiushindani!Kuna wanaojuana, kuna wasiojuana, kuna wanao-wafanyia ujasusi wenzao uku nao wakifanyiwa ujasusi bila kuwajua wanaowafanyia ujasusi, kuna wanaofanyishwa kazi za usalama bila wao kujijua, iwe kwenye siasa, biashara, dini kote wapo majasusi.
Tatizo la ujasusi wa bongo umejikita kwenye kukusanya taarifa zaidi za mambo mbali mbali kusaidia utawala uliopo madarakani tofauti na wenzetu ambao wanajikita sana kwenye kuzuia hatari zote mbaya zizazohusu uchumi na siasa bila kuegemea upande wowote wa kisiasa.
TISS wanatakiwa kujikita kwenye ujasusi wa kiuchumi jinsi ya kutengeneza mabilionea, jinsi ya kupigana vita ya kiuchumi na mataifa jirani, kuhakikisha taarifa za kiujasusi wanazokusanya zinafanyiwa kazi haraka bila kuegemea upande wowote.
Waliokuwa nje wanatamani kuingia! waliokuwepo ndani wanatamani kutoka! Duh! Maisha haya!Sio kazi nzuri ..nakazia hapo.
Kwani huku kwetu wanapatikanaje boss?Hapo inatakiwa mtu talented, hawa wa kwetu naona wengi hawapatikani kiushindani!
Hata hilo tangazo za kazi zao sijawahi ziona.Waliokuwa nje wanatamani kuingia! waliokuwepo ndani wanatamani kutoka! Duh! Maisha haya!
Wapi huko wanakuhisi kazini au mtaani?Hii kuhisiwa kuwa mimi Usalama huwa sipendi kabisa! kwa muda mrefu hii hali inanitesa! maneno yanazunguuka hadi yananikuta mimi mwenyewe tuhuma za kilofa kabisa!
Kwani huku kwetu wanapatikanaje boss?Hapo inatakiwa mtu talented, hawa wa kwetu naona wengi hawapatikani kiushindani!
Hawawezi kuaminiana maana saa zingine wanatumwa kumalizana wao kwa wao kwa wale waliokiuka maagizo ya wakuu wao.Wanabodi, weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wana usalama/TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!
Hawaaminiani, hawajuani kivile!
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwa ubaya ila kuna kitu nimekinotice kwako. Hii I'd yako ni mpya hapa jf ila nyuzi ulizochangia ni zinahusu Tiss au majeshi tu tena kwa vimaswali chokonozi.Kwani huku kwetu wanapatikanaje boss?
Kote kote siaminiki, hawanielewi elewi! Binafsi sipendi hili jambo wala Ajira ya Aina hii, naona kama ni mikosi Kwangu!Wapi huko wanakuhisi kazini au mtaani?
Au wewe ndio unajihisi boss
Sijui kwa Kweli.Kwani huku kwetu wanapatikanaje boss?
Kumbe na wewe umemshitukia eeh!? Nilidhani ni Mimi peke yangu niliyeona hili.Hao ni miongoni mwa 'watu wao wengi' waliotumwa huku kwenye mitandao ya kijamii ili kuwafuatilia watu kwamba wanasema nini kuhusu wao, pamoja na kufanya online surveillance dhidi ya targets zao Fulani Fulani hapa mtandaoni au ku-disrupt mijadala pevu mitandaoni inayokosoa au kuibana idara yao.Sio kwa ubaya ila kuna kitu nimekinotice kwako. Hii I'd yako ni mpya hapa jf ila nyuzi ulizochangia ni zinahusu Tiss au majeshi tu tena kwa vimaswali chokonozi.View attachment 2846805
Wapo ambao wanafahamiana, lakini pia wapo wasiofahamiana.Ilikuwa ni wakati wa jk nyerere lakini siku hizi wanatiana hadi mimba
Kifupi hana sifaJapokuwa ulichoongea ni kweli lakini wewe huwezi kuwa undercover usiniulize sababu mkuu
Kifupi hana sk
Kwanini hana sifa boss?Kifupi hana sifa