Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Wapo wanaofahamiana, lakiki pia wapo wasiofahamiana.
Aidha, ni kweli kwamba hawaaminiani, ndio maana wao kwa wao wanachunguzana kwa Siri bila kujuana wao kwa wao.
 
Hapo inatakiwa mtu talented, hawa wa kwetu naona wengi hawapatikani kiushindani!
 
Hii kuhisiwa kuwa mimi Usalama huwa sipendi kabisa! kwa muda mrefu hii hali inanitesa! maneno yanazunguuka hadi yananikuta mimi mwenyewe tuhuma za kilofa kabisa!
 
Hii kuhisiwa kuwa mimi Usalama huwa sipendi kabisa! kwa muda mrefu hii hali inanitesa! maneno yanazunguuka hadi yananikuta mimi mwenyewe tuhuma za kilofa kabisa!
Wapi huko wanakuhisi kazini au mtaani?

Au wewe ndio unajihisi boss
 
Hawawezi kuaminiana maana saa zingine wanatumwa kumalizana wao kwa wao kwa wale waliokiuka maagizo ya wakuu wao.
 
Kwani huku kwetu wanapatikanaje boss?
Sio kwa ubaya ila kuna kitu nimekinotice kwako. Hii I'd yako ni mpya hapa jf ila nyuzi ulizochangia ni zinahusu Tiss au majeshi tu tena kwa vimaswali chokonozi.
 
Sio kwa ubaya ila kuna kitu nimekinotice kwako. Hii I'd yako ni mpya hapa jf ila nyuzi ulizochangia ni zinahusu Tiss au majeshi tu tena kwa vimaswali chokonozi.View attachment 2846805
Kumbe na wewe umemshitukia eeh!? Nilidhani ni Mimi peke yangu niliyeona hili.Hao ni miongoni mwa 'watu wao wengi' waliotumwa huku kwenye mitandao ya kijamii ili kuwafuatilia watu kwamba wanasema nini kuhusu wao, pamoja na kufanya online surveillance dhidi ya targets zao Fulani Fulani hapa mtandaoni au ku-disrupt mijadala pevu mitandaoni inayokosoa au kuibana idara yao.
 
Ilikuwa ni wakati wa jk nyerere lakini siku hizi wanatiana hadi mimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…