Pax Vobiscum
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 450
- 757
Ni mimi mkuu
Well said!Siyo kujuana na kuaminiana tuu, (TISS) hawajui hata wanafanya nini, yaani ni misukule ya utawala wa kidhalimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka kuwa nyoka/informer hadi kuwa DG!!! Ama kweli nchi inachezewa sana.under cover ndio hatufahamiani, hao wengine wanajuana kama watumishi wengine tu wa umma wanaenda ofisini kila siku na wanaishi kwenye nyumba za idara
Kwa mfano Mimi nilikua sifahamu kama DG wa sasa ni Mwana idarA
Undercover hata ID hatupewi.. ila tuliokuwa kwa mafunzo ya kuanza tunajuana ila hatujuani nani ni nani [emoji3][emoji3] Joowzey
Salama mzee Swalehe hajambo ππ
Wanajuana sababu Wana tabia zilizofanana. Wengi ni wakimya, Kuna vigezo vingine wanavyo pia Kama physique na vingine.
Wakikutana walitaka kukutana Wana code zao ambazo wenyewe kwa wenyewe wanazijua. Kwa bongo hawawezi kufuga ndevu, kunywa pombe kupiga kiasi, kuropokaropoka.
Nadhani pia waliyoingia intake moja wanafahamiana lakini Kama hawakuwa mafunzoni pamoja so rahisi kufahamiana. Mfano Toss aliyekuwa attached Kwa mkuu wa wilaya hawezi kumjua Tiss aliyekuwa labda Sabasaba Tantrade mpaka wajitambulishe kwa namba or sort of a code
Sent using Jamii Forums mobile app
....kigezo cha kuwa Tiss siku hizi ni lazima uwe kada wa ccm unategemea nini hapo mkuuMa-TISS ya siku hizi ni mamburura ya CHECHEME! Shenzi kabisa! Yanajitapa mpaka mtaani!
Wafahamiane wasifahamiane wote ni wauaji tuWanabodi ,weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wanausalama /TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa !
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi , unafanya nini !
Hawaaminiani , hawajuani kivile !
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka kuwa nyoka/informer hadi kuwa DG!!! Ama kweli nchi inachezewa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye kufuga ndevu, si kweli kwamba hawafugi, wasiofuga ni wale wanaofahamika. Kila mtu ana purpose yake katika eneo husika kuna wengine ni wazugaji tu, wanakuwa na mwonekano usiokuwa wa kimaadili ya utumishi ili watu wasiwastukie. Hao ndio wakusanya taarifa wazuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawew n mmoja wao, kwann huwa mnaficha ficha.Hata nyuma ya keybord, embu tupen elim kidogo maana hakuna asiyependa kujua ABS(s) zenu daa!!Kutoka kuwa nyoka/informer hadi kuwa DG!!! Ama kweli nchi inachezewa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wewe tunavyokujua πππWanajuana vizuri tuu. Kama Sisi raia tunawajua kwanini wao wasijuane?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana habari yako
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUkOTE]
Shikamoo baba swalehe, naona mizimu yenyewe imenyamaza alafu mitetea inataga mayai kwenye tundu chooππππ
Sio kazi nzuri ..nakazia hapo.Sasa wakijuana na kutengeneza mtandao usalama utakuwepo kweli? Lazima wasijuane! Na kila mtu anareport kwa bosi wake mmoja na anapokea maelekezo kutoka chanzo kimoja! Kwenye utendaji wanaweza kujuana lakini wachache sana labda 2 au 3 na tena ujui nani anamchunguza nani? Tena unakuta mwingine kazi yake ni kuchunguza mienendo ya mwenziwe na kureport basi! Hata hivyo kwa ngazi za chini maslahi hakuna na unatakiwa huwe mzalendo na kujitolea kwasaana! Ngazi za juu familia yako inaweza kutumiwa kukuwajibisha kama utazingua na unakuwa unajua hilo! Kwa ufupi sio kazi nzuri kama watu wanavyodhani! Sikushauri!