moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Haya tuoneshe huyo aliyegeuza shati...maana wote wamevaa t-shirts na form 6kuna dogo mmoja aliyekuwa pemben ya jpm wakat akinywa kahawa kijiwen jana, kageuza shati hv, tafta hyo clip uiangalie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanda ya ziwa mkuu usiombe kukutana nae unaweza kusema ni mgangaHuyo kachero Yuko mkoa gani aisee?
Nyoka....Wanabodi, weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wana usalama/TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!
Hawaaminiani, hawajuani kivile!
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka umripoti au???Huyo kachero Yuko mkoa gani aisee?
[emoji16][emoji16][emoji16]Nimeandika nikafuta, nikaandika tena kisha jikafuta.
Nashukuru sikupost nilichokusudia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaah mgosi kulonga mbuli ikangaleZilongwa Mbali Zitendwa Mbali
Tukuyu anashinda kijiwe gani ?
Kufahamianafahamiana mwishoe muanze kukopanakopana bure!!Ni kweli sisi kwa sisi hatufahamianani na pia kazi zetu hazitaki tufahamiane.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Undercover hata ID hatupewi.. ila tuliokuwa kwa mafunzo ya kuanza tunajuana ila hatujuani nani ni nani [emoji3][emoji3] Joowzey
Habari za kitambo mkuuWanajuana vizuri sana sema kwenye majukumu hapo ndipo huwezi jua mmoja wako ana mishe gani wakati gani. Mbona kuna sehemu niliona wanajuana kabisa.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]itakuwa unaemfahamu na mimi namfahamu wahuni wa kibiti walimpata pata fresh alipoendako One man Army
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa asipotembelea V8 lake 90% ukiambiwa ni mganga wa kienyeji haubishi ila ingia 18 zake sasa ndio utamtambua ni mweupe anavaa bangili za kiganga mikono yote kama wacheza ngoma wa zeze kutoka vijijini
Nina mfahamu itakuwa, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Jamaa asipotembelea V8 lake 90% ukiambiwa ni mganga wa kienyeji haubishi ila ingia 18 zake sasa ndio utamtambua ni mweupe anavaa bangili za kiganga mikono yote kama wacheza ngoma wa zeze kutoka vijijini
yote kwa yote jamaa anachapa kazi yake vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app