ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Jimbo gani?Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Jibu sahihi ni kwamba anataka kugombea ubunge kupitia CCM.Hili jukwaa ni pana lina watu wengi, lazima Kuna mtu atakuja na jibu sahihi
Unahisi uaskofu ni haki yake kwamba anaupata kwa matakwa.Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Kwa hiyo hoja yako Askofu Kilaini siyo askofuAskofu Mkuu wa Jimbo katoliki la Bukoba ni muhashamu Baba askofu Jovitus Francis Mwijage
Huyo Methodius Kilaini ni askofu kamili wa jimbo gani gani?
Kwani kilaini sio askofu?Kwan Methodius kilaini alitaka kugombea wap na kwa chama gani akanyimwa uaskofu mpaka wa leo?
Ni askofu msaidizi tu, full stop.Kwa hiyo hoja yako Askofu Kilaini siyo askofu
Ni Askofu msaidizi tu, full stop.Kwani kilaini sio askofu?
Baba Askofu wa Jimbo Katoliki lolote duniani mara anapokalia kiti cha Kiaskofu mojawapo ya majukumu yake ya mwanzo ni kupendekeza majina matatu ya Mababa Mapdre ya kuwa kutoka Jimbo lake wanaweza kuteuliwa kuwa Mababa Askofu kutokana na vigezo vilivyowekwa. Kaa nayo kichwani hiyo.Hakuna anayejua nani atakuwa askofu, ni siri. Hata maaskofu waliopo wanaambiwa jina likishatoka
Ukisikiliza interview za maaskofu wateule wanasema, "nilipigiwa simu na balozi wa Papa,nikaambiwa nifike ofisini, nikapewa hizo taarifa, then unaulizwa unakubali au unakataa??
Hayo ni majina ya kupendekeza warithi wake, lakini siyo lazima watoke kwenye hayo majina. Askofu mstaafu wa Lindi kwenye interview Moja alisema hakudhani kama huyu askofu wa Sasa WA lindi (Wolfgang) ndiye atakuwa mrithi wake, alikuwa anawawazia wengine kabisaBaba Askofu wa Jimbo Katoliki lolote duniani mara anapokalia kiti cha Kiaskofu mojawapo ya majukumu yake ya mwanzo ni kupendekeza majina matatu ya Mababa Mapdre ya kuwa kutoka Jimbo lake wanaweza kuteuliwa kuwa Mababa Askofu kutokana na vigezo vilivyowekwa. Kaa nayo kichwani hiyo.
Hakuna mtu yeyote aliyemwambia. Hizo ni chuki binafsi alizo nazo kwa Kitima. Kitima hapo alipo ni zaidi ya mbunge atambue hilo. Wasiwakatae watu wanaowashauri.Yaani umelishwa matango pori na huo jamaa yako huko uliko, halafu unakuja kuyatapikia kama yalivyo humu jukwaani!! This is not fair at all.
Kweli na ukifuatilia utàkuta alipendekzwa na Baba Askofu wa Jimbo Katoliki jengine ila akapelekwa huko.Hayo ni majina ya kupendekeza warithi wake, lakini siyo lazima watoke kwenye hayo majina. Askofu mstaafu wa Lindi kwenye interview Moja alisema hakudhani kama huyu askofu wa Sasa WA lindi (Wolfgang) ndiye atakuwa mrithi wake, alikuwa anawawazia wengine kabisa
Kwa kawaida utaratibu wa kanisa katoliki haliruhusu mapadri kugombea ngazi yoyote ile ya kisiasa labda kama utajivua gamba kama alivyofanya dr slaa au Dr mhagama mbunge wa madaba.Ni kweli padri kitima ni mwimini wa cdm ukimwondoa nje ya ukasisi wake kama binadamu.na mchakato wa kujitoa kwenye upadre uko so complicated na hii ndo hali halisi.Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake