Ni kweli Vatican wanakataa kumpa Uaskofu Padri Kitima baada ya kupata tetesi anataka kugombea ubunge kupitia CHADEMA?

Ni kweli Vatican wanakataa kumpa Uaskofu Padri Kitima baada ya kupata tetesi anataka kugombea ubunge kupitia CHADEMA?

Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.

Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Jimbo gani?
 
Kwa kweli mada imekuja km swali, mimi binafsi kwa kweli sijui kwa hiyo sina jibu lake! 😄
 
Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.

Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Unahisi uaskofu ni haki yake kwamba anaupata kwa matakwa.
Unataka kutuaminisha kuwa ndani ya kanisa katolic Tanzania Padri Charles Kitima anaweza akaamua lolote?
 
Askofu Mkuu wa Jimbo katoliki la Bukoba ni muhashamu Baba askofu Jovitus Francis Mwijage

Huyo Methodius Kilaini ni askofu kamili wa jimbo gani gani?
Kwa hiyo hoja yako Askofu Kilaini siyo askofu
 
Kwani kilaini sio askofu?
Ni Askofu msaidizi tu, full stop.
Ana barua ya Baba Mtakatifu ya kua askofu msaidizi tu.

Nzigilwa na Eusebius wana barua za kuteuliwa kuwa maaskofu wa saidizi dar, lakini pia wana barua za kuteuliwa maaskofu wa majimbo.

Mama hawezi kua Baba and vise versa is true, lakini wote ni wanandoa.
 
Hakuna anayejua nani atakuwa askofu, ni siri. Hata maaskofu waliopo wanaambiwa jina likishatoka

Ukisikiliza interview za maaskofu wateule wanasema, "nilipigiwa simu na balozi wa Papa,nikaambiwa nifike ofisini, nikapewa hizo taarifa, then unaulizwa unakubali au unakataa??
Baba Askofu wa Jimbo Katoliki lolote duniani mara anapokalia kiti cha Kiaskofu mojawapo ya majukumu yake ya mwanzo ni kupendekeza majina matatu ya Mababa Mapdre ya kuwa kutoka Jimbo lake wanaweza kuteuliwa kuwa Mababa Askofu kutokana na vigezo vilivyowekwa. Kaa nayo kichwani hiyo.
 
Maaskofu wa Roman hawapigiwi kura,kujisimika au kujitunuku uaskofu kama wengine wanaojipachika utume na unabii baada ya kukariri vifungu kwenye biblia.
Mchakato ni mrefu na unachukua miaka mingi,hata mlengwa anakuwa haijui kinachoendelea bali anakuwa taken by surprise.
 
Baba Askofu wa Jimbo Katoliki lolote duniani mara anapokalia kiti cha Kiaskofu mojawapo ya majukumu yake ya mwanzo ni kupendekeza majina matatu ya Mababa Mapdre ya kuwa kutoka Jimbo lake wanaweza kuteuliwa kuwa Mababa Askofu kutokana na vigezo vilivyowekwa. Kaa nayo kichwani hiyo.
Hayo ni majina ya kupendekeza warithi wake, lakini siyo lazima watoke kwenye hayo majina. Askofu mstaafu wa Lindi kwenye interview Moja alisema hakudhani kama huyu askofu wa Sasa WA lindi (Wolfgang) ndiye atakuwa mrithi wake, alikuwa anawawazia wengine kabisa
 
Yaani umelishwa matango pori na huo jamaa yako huko uliko, halafu unakuja kuyatapikia kama yalivyo humu jukwaani!! This is not fair at all.
Hakuna mtu yeyote aliyemwambia. Hizo ni chuki binafsi alizo nazo kwa Kitima. Kitima hapo alipo ni zaidi ya mbunge atambue hilo. Wasiwakatae watu wanaowashauri.
 
Hayo ni majina ya kupendekeza warithi wake, lakini siyo lazima watoke kwenye hayo majina. Askofu mstaafu wa Lindi kwenye interview Moja alisema hakudhani kama huyu askofu wa Sasa WA lindi (Wolfgang) ndiye atakuwa mrithi wake, alikuwa anawawazia wengine kabisa
Kweli na ukifuatilia utàkuta alipendekzwa na Baba Askofu wa Jimbo Katoliki jengine ila akapelekwa huko.
 
Mtoa hoja hujui chochote kuhusu ukatoliki. Katibu Mkuu wa TEC ni mtu mkubwa saaaaana kuliko Askofu. Majukumu yake ni makubwa. Hawezi kuwa Askofu. Huyo ndio Boss wao. Ndio maana ili uwe Katibu wa TEC lazima uwe na elimu ya kitosha sana. Kwa itofaki yeye ndiye anayeongoza utendaji wa Baraza la Maaskofu, lenye nguvu zaidi Tanzania.
 
Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.

Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Kwa kawaida utaratibu wa kanisa katoliki haliruhusu mapadri kugombea ngazi yoyote ile ya kisiasa labda kama utajivua gamba kama alivyofanya dr slaa au Dr mhagama mbunge wa madaba.Ni kweli padri kitima ni mwimini wa cdm ukimwondoa nje ya ukasisi wake kama binadamu.na mchakato wa kujitoa kwenye upadre uko so complicated na hii ndo hali halisi.
 
Kila anachokiongea Fr. Kitima kina baraka za kanisa na ndio maana mpaka sasa bado ni katibu mkuu wa TEC.
 
Back
Top Bottom