Ni kweli Vatican wanakataa kumpa Uaskofu Padri Kitima baada ya kupata tetesi anataka kugombea ubunge kupitia CHADEMA?

Ni kweli Vatican wanakataa kumpa Uaskofu Padri Kitima baada ya kupata tetesi anataka kugombea ubunge kupitia CHADEMA?

Msaidizi atabaki kuwa msaidizi tu katika usaidizi wake, mpaka itakavyo amuliwa vinginevyo na taasisi ya uteuzi.

Atasubiri kupewa ukamilifu wa muda kwa kukaimu, kwa kuelekezwa au kuagizwa na mkuu wake wa kazi cha kufanya cha kiaskofu..
Ile kashifa ya pesa za ESCROW inamtafuna
 
Askofu Mkuu wa Jimbo katoliki la Bukoba ni muhashamu Baba askofu Jovitus Francis Mwijage

Huyo Methodius Kilaini ni askofu kamili wa jimbo gani gani?
Nikusaidie tu, naona huelewi vizuri. Mwijage ni askofu mteule wa Bukoba, bado hajasimikwa, atasimikwa January 14, na sio askofu mkuu ni askofu wa kawaida a.k.a. askofu jimbo.
Methodius Kilaini ni askofu kamili. Yeye ni askofu msaidizi wa hilo jimbo la Bukoba. Kumbuka unaweza kuwa askofu lakini usiwe na jimbo, bali una majukumu mengine eg. askofu msaidizi, utumishi ktk ofisi za Vatican au shughuli za kidiplomasia kama alivyo askofu mkuu Novatus Rugambwa
 
Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.

Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake

Kanisa katoliki ni chombo kikubwa sana na kinachoheshimu protocal ……Katibu Mtendaji wa TEC ni karani wa baraza la maaskofu , yaani anafanya kile anachotumwa kufanya na maaskofu , yeye ni Padre …yaani anaweza vipi kuwaamrisha maaskofu / ?
 
Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.

Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Acha uchochezi. Mbona Askofu Gwaji-boy aligombea ubunge wa Kawe kwa ticketi ya kile Chama Chakavu na mpaka leo anadunda na hajavuliwa uaskofu wake
 
Nikusaidie tu, naona huelewi vizuri. Mwijage ni askofu mteule wa Bukoba, bado hajasimikwa, atasimikwa January 14, na sio askofu mkuu ni askofu wa kawaida a.k.a. askofu jimbo.
Methodius Kilaini ni askofu kamili. Yeye ni askofu msaidizi wa hilo jimbo la Bukoba. Kumbuka unaweza kuwa askofu lakini usiwe na jimbo, bali una majukumu mengine eg. askofu msaidizi, utumishi ktk ofisi za Vatican au shughuli za kidiplomasia kama alivyo askofu mkuu Novatus Rugambwa
Hawezi tekeleza jukumu lolote la kiaskofu bila ridhaa wala idhini ya askofu mkuu wa Jimbo husika. Ndio maana anabaki kuwa msaidizi kama alivyo paroko msaidizi, japo nae ni padre ila hawez tekeleza jukumu la kiparoko ispokua kwa idhini ya paroko mahalia....

Alipoondolewa Dar akapelekwa Bukoba kuwa msaidizi.
Wakateuliwa wasaidizi wawili Salutaris Libena- akishughulika masuala ya Litrujia na Eusebius Nzigilwa - akishughulika na na masuala ya kijamii..
Lakini baadae hawa vijana wakawa maaskofu Kamili wa majimbo ya Ifakara na Rukwa.

Kwahiyo askofu msaidizi, mathalani Henry Mchamungu wa dar salama ana majukumu mengine sio usaidizi wa askofu wa dar, right?

Na wale maabate unadhani wanaweza kua na majuku gani zaidi ya hayo maalumu ?

Ukiwa msaidizi unawajibika kwa unaemsaidia na akikutuma cha kufanya.
Ule ni utume unaozingatia hoarakia vikali sana...
Mwenye kuwajibika mojakwamoja Vatican ni cardinal
 
Kwan Methodius kilaini alitaka kugombea wap na kwa chama gani akanyimwa uaskofu mpaka wa leo?
Askofu Msaidizi ni Askofu

An auxiliary bishop is a bishop assigned to assist the diocesan bishop in meeting the pastoral and administrative needs of the diocese. Auxiliary bishops can also be titular bishops of sees that no longer exist as territorial jurisdictions.
 
Sio sahihi sana kusema ni msaidizi wa askofu, Kwa sababu msaidizi wa askofu anaweza kuwa shemasi, padre, sista, au mlei- yeyote anaemsaidia ktk suala fulani. Kilaini ni askofu msaidizi. Ni askofu kamili- ana daraja la uaskofu.
Askofu Msaidizi si ndiyo cheo chake
 
Acha uchochezi. Mbona Askofu Gwaji-boy aligombea ubunge wa Kawe kwa ticketi ya kile Chama Chakavu na mpaka leo anadunda na hajavuliwa uaskofu wake
Huyo ana U-Askofu wa kitapeli
 
Mnamchafua kisiasa baada ya huo waraka. Wajinga ndio wataamini hivyo lakini werevu tunajua hii ni propaganda
 
Hawezi tekeleza jukumu lolote la kiaskofu bila ridhaa wala idhini ya askofu mkuu wa Jimbo husika. Ndio maana anabaki kuwa msaidizi kama alivyo paroko msaidizi, japo nae ni padre ila hawez tekeleza jukumu la kiparoko ispokua kwa idhini ya paroko mahalia....

Alipoondolewa Dar akapelekwa Bukoba kuwa msaidizi.
Wakateuliwa wasaidizi wawili Salutaris Libena- akishughulika masuala ya Litrujia na Eusebius Nzigilwa - akishughulika na na masuala ya kijamii..
Lakini baadae hawa vijana wakawa maaskofu Kamili wa majimbo ya Ifakara na Rukwa.

Kwahiyo askofu msaidizi, mathalani Henry Mchamungu wa dar salama ana majukumu mengine sio usaidizi wa askofu wa dar, right?

Na wale maabate unadhani wanaweza kua na majuku gani zaidi ya hayo maalumu ?

Ukiwa msaidizi unawajibika kwa unaemsaidia na akikutuma cha kufanya.
Ule ni utume unaozingatia hoarakia vikali sana...
Mwenye kuwajibika mojakwamoja Vatican ni cardinal
Labda ungerejea argument imeanzia wapi. Ni je! Kilaini ni askofu kamili au la! Jibu ni: Kilaini ni askofu kamili.
Hawezi tekeleza jukumu lolote la kiaskofu bila ridhaa wala idhini ya askofu mkuu wa Jimbo husika. Ndio maana anabaki kuwa msaidizi kama alivyo paroko msaidizi, japo nae ni padre ila hawez tekeleza jukumu la kiparoko ispokua kwa idhini ya paroko mahalia....

Alipoondolewa Dar akapelekwa Bukoba kuwa msaidizi.
Wakateuliwa wasaidizi wawili Salutaris Libena- akishughulika masuala ya Litrujia na Eusebius Nzigilwa - akishughulika na na masuala ya kijamii..
Lakini baadae hawa vijana wakawa maaskofu Kamili wa majimbo ya Ifakara na Rukwa.

Kwahiyo askofu msaidizi, mathalani Henry Mchamungu wa dar salama ana majukumu mengine sio usaidizi wa askofu wa dar, right?

Na wale maabate unadhani wanaweza kua na majuku gani zaidi ya hayo maalumu ?

Ukiwa msaidizi unawajibika kwa unaemsaidia na akikutuma cha kufanya.
Ule ni utume unaozingatia hoarakia vikali sana...
Mwenye kuwajibika mojakwamoja Vatican ni cardinal
Rejea swali lako ulipouliza: 'Kilaini ni askofu kamili wa jimbo gani?'
Jibu ni: Askofu sio lazima awe na jimbo ndio awe askofu kamili. Unaweza kuwa askofu lakini ukapewa majukumu mengine, tofauti na jimbo, kwa mfano 1) Kardinali Protase Rugambwa (hapo awali) alikuwa askofu wa jimbo la Kigoma. Baadae akatolewa, akapelekwa Rome kuwa katibu wa idara ya uenezaji injili- bado ni askofu kamili. 2) Askofu mkuu Novatus Rugambwa hajawahi kuwa na jimbo, anafanya kazi za kidipolmasia- (balozi wa Vatican sehemu mbalimbali)- bado ni askofu kamili. 3) Maaskofu Kilaini, Mchamungu,/Stephano Musomba na Prosper Lyimo, ambao ni maaskofu wasaidizi, hawa wote ni maaskofu kamili.
 
Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.

Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake

ACHA uongo na uzushi, Kanisa katoliki haliko hivyo, waraka umesema ni WA maaskofu Leo una SEMA padre kitima alishinikiza usomwe yeye anatoa wapi mamalaka hayo.Acha kuchafua dini za watu. ACHA UJINGA FIKIRIA KABLA YA KUPANDISHA UZI HAPA
 
Labda ungerejea argument imeanzia wapi. Ni je! Kilaini ni askofu kamili au la! Jibu ni: Kilaini ni askofu kamili.

Rejea swali lako ulipouliza: 'Kilaini ni askofu kamili wa jimbo gani?'
Jibu ni: Askofu sio lazima awe na jimbo ndio awe askofu kamili. Unaweza kuwa askofu lakini ukapewa majukumu mengine, tofauti na jimbo, kwa mfano 1) Kardinali Protase Rugambwa (hapo awali) alikuwa askofu wa jimbo la Kigoma. Baadae akatolewa, akapelekwa Rome kuwa katibu wa idara ya uenezaji injili- bado ni askofu kamili. 2) Askofu mkuu Novatus Rugambwa hajawahi kuwa na jimbo, anafanya kazi za kidipolmasia- (balozi wa Vatican sehemu mbalimbali)- bado ni askofu kamili. 3) Maaskofu Kilaini, Mchamungu,/Stephano Musomba na Prosper Lyimo, ambao ni maaskofu wasaidizi, hawa wote ni maaskofu kamili.
Kiufupi wasaidizi uliowataja hawana mamlaka ya kutekeleza wajibu wa kiaskofu ispokua kwa maelekezo na maagizo ya askofu mahalia....
Wote wanabaki na daraja yao ya uaskofu ispokua mamlaka ya kijimbo yanabaki kwa askofu wa kijimbo....
Msaidizi anatii mamlaka ambayo hana...

Wote wanabaki kuwa maaskofu ispokua mamlaka ya kijimbo yanabaki kwa askofu mahalia. Askofu Msaidizi anabaki kuwa msaidizi tu mpaka aliemteua aamue vinginevyo...

Sawa na paroko msaidizi hafanyi chchote parokiani, ispokua kwa kwa ridhaa, maelekezo au kupangiwa na na paroko mahalia.
Na wote watabaki kua mapadre tu...
kwani huo ndio msingi wa utume wao...
 
Mbona Gwajiboy ni askofu halafu pia ni mbunge wa kawe halafu bado sisi vijana wa kawe hajatutekelezea ile ahadi ya kwenda kusoma samaki nje ya nchi[emoji3][emoji3]
Huyo tapeli atakuja na ahadi mpya 2025
 
Mbona Gwajiboy ni askofu halafu pia ni mbunge wa kawe halafu bado sisi vijana wa kawe hajatutekelezea ile ahadi ya kwenda kusoma samaki nje ya nchi[emoji3][emoji3]
Huyu uaskofu wake wa mchongo, unapewa kama ule u Dr wa viongozi wetu.
 
Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.

Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake

Wahi chooni ukatoe huo uharo ulioubeba kichwani mwako. Toka lini uaskofu ukaombwa
 
Back
Top Bottom