Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Huwa sipendi kuhoji Imani za watu wengine kwani Kila mtu ana Imani yake nahivyo huwa namheshimu
Hata hivyo Leo nimeona nihoji japo kwa uzuri tuu.
Kwamba waliagizwa na bosi wao kuua wazazi, Ndugu na jamas zake wote japo wengineo walifanikiwa kutorokea baharini
Kwamba katoto kalibakia pekeyake na wakaona kabla ya kukaua kama walivyoagizwa basi wamuulize bosi aliyewatuma
Kwamba bosi akawaagiza wasikaue hako katoto kachanga ila waende nako hukoo juuu
Kwamba katoto hako kachanga kaliishi na makamanda walioua Ndugu zake hukoo juu miaka laki 6 kabla ya baadaye kuasi
Kwamba kalipoasi kalitupwa hapa Duniani na hadi leo ndiyo kanaendelea kusumbua Dunia kwa mateso ya kila namna
Kwamba kwa sasa siyo katoto kachanga tena bali kamekuwaaa kubwa la maàdui kakiwa na weledi mkubwa kalikojifunza kakipokuwa juuuu
Wenye elimu mtujuze ilikuaje wakaacha kukaua kama walivyoagizwa?
Mchana mwema
Huwa sipendi kuhoji Imani za watu wengine kwani Kila mtu ana Imani yake nahivyo huwa namheshimu
Hata hivyo Leo nimeona nihoji japo kwa uzuri tuu.
Kwamba waliagizwa na bosi wao kuua wazazi, Ndugu na jamas zake wote japo wengineo walifanikiwa kutorokea baharini
Kwamba katoto kalibakia pekeyake na wakaona kabla ya kukaua kama walivyoagizwa basi wamuulize bosi aliyewatuma
Kwamba bosi akawaagiza wasikaue hako katoto kachanga ila waende nako hukoo juuu
Kwamba katoto hako kachanga kaliishi na makamanda walioua Ndugu zake hukoo juu miaka laki 6 kabla ya baadaye kuasi
Kwamba kalipoasi kalitupwa hapa Duniani na hadi leo ndiyo kanaendelea kusumbua Dunia kwa mateso ya kila namna
Kwamba kwa sasa siyo katoto kachanga tena bali kamekuwaaa kubwa la maàdui kakiwa na weledi mkubwa kalikojifunza kakipokuwa juuuu
Wenye elimu mtujuze ilikuaje wakaacha kukaua kama walivyoagizwa?
Mchana mwema