Ni kweli wanawake hutumia hisia kufanya maamuzi badala ya akili?

Ni kweli wanawake hutumia hisia kufanya maamuzi badala ya akili?

Wapo wanatumia hisia na wapo wanatumia akili inategemea na mtu na mtu
 
Wapo wanatumia hisia na wapo wanatumia akili inategemea na mtu na mtu
Shukrani kwa maelezo mazuri na yenye kujitosheleza.

Kuna mwalimu wangu mmoja alipata kuniambia ya kuwa wapo wanawake wenye akili kutuzidi sisi Wanaume. Naendelea kusoma maoni yanu.
 
Hata usiumize Kichwa.. Ninachoandika kwenye Nyuzi zangu kuhusu wanawake na HISIA.

Kipo ivo na Kitabaki ivo Milele na Daima.


Ninachoandikaga, Hata wanawake wanakijua, na hawapendi kuona wanaelezewa kiundani wapi palipo na udhaifu wao.


Ivi unategemea, Akuambie hali halisi??ili ujue penye udhaifu.


Hata usiumize Kichwa.


[emoji117]Leo nimechukua namba za wanawake 7, sijawa tongoza ila kuna namna nimewachomekea yaan nmeandika meseji moja mida ya saa 12 jion, alafu nikaifowadi kwa wote.... Na majibu yao yakawa yanatoka vile vile as if wako sehem moja, namm mwendo ukawa niuleule wa meseji moja na fowadi..baadae kila mmoja akaanza kuja na ohoooo Mie mke wamtu, ohoooo sijawah...ohooo wee Mme wa MTU.


KWA UFUPI WOTE 7 WAMEKUBALI, NA KESHO NACHAKATA WAWILI.



kuhusu mambo mengine, kuna masuala ndio wanatumia akili .

LAKINI KAMA UNAZUNGUMZIA MAPENZI, AKI YAMAMA, MWANAMKE ASINGEMPENDA KIPOFU, BUBU, KILEMA, MZEEE, MASIKINI, MUHUNI ...YAAN KAMA NI AKILI WANGEKUA WANATAFUTA MWANAUME KWA AKILI.



MWANAMKE ANAKUKUBALI KWA HISIA.... ILA KUKUACHA AU KUKUKATAA ANAKUA NA SABABU, NAHIYO SABABU ATAIPATA KAMA UMESHINDWA KUCHEZA NA HISIA ZAKE.
Unaweza kuyaweka kwa mtindo wa asilimia maelezo yako ? Yaani namaanisha kuugawa kwa ziada kwa maana je ni asilimia zaidi ya 50 wanatumia hisia au akili ?

Lakini kwa maelezo yako huwezi kumtofautisha Mwanamke na Mwanaume, wakati kiuhalisia sisi na Wanawake tuko tofauti, nini namaanisha hapa, namaamisha ya kuwa maelezo yako yamemili upande mdogo sana.
 
Sasa hisia tulipewa ili tuzifanyie nini Kama siyo kuzitumia?
 
Unaweza kuyaweka kwa mtindo wa asilimia maelezo yako ? Yaani namaanisha kuugawa kwa ziada kwa maana je ni asilimia zaidi ya 50 wanatumia hisia au akili ?

Lakini kwa maelezo yako huwezi kumtofautisha Mwanamke na Mwanaume, wakati kiuhalisia sisi na Wanawake tuko tofauti, nini namaanisha hapa, namaamisha ya kuwa maelezo yako yamemili upande mdogo sana.
100% ya wanawake katika suala LA mahusiano hutumia Hisia sio Akili.


Mambo mengine huko ndio hutumia akili.
 
Back
Top Bottom