Ni kweli Wastara anatudanganya kuwa yupo hospitalini India?

Mimi na nursing yangu ndogo

1.Sijawahi kuona cannular ikielekezewa upande wa vidole, blood flow hairuhusu kitu hicho ukilazimisha ganglin itatokea.

2.Cannular huwa hairundikiwi plasters kijinga hivyo, kuna namna ya kuibana ili kuruhusu venous flow.

3. Hakuna straight line itayopatikana kutokea kwenye hiyo point kuelekea kwenye vidole.
 
Niliwahi Kusema huyu ugonjwa wake kaugeuza mtaji
 
HEBU TUANZE NA HIYO LOGO HAPO ILI TUJUE NI YA KAMPUNI GANI...
JE NI LOGO YA HOSPITAL..??, HOTELI..?? AU KAMPUNI INAYOTENGENEZA NGUO BAADA YA HAPO TUENDELEE NA MJADALA...



Mbona kama vile ya Serena Hotels[emoji2] [emoji2]
 
SASA HIV KUNA NJEMBA LINA MPINDA HOTELIN NA STAIL YA SKUMA TOLOLI NA KIGULU BAJA HATA SISHANGAI MAANA WABONGO TUMEZOEA KUPIGWA ESKRO SISI HAYA HII NAYO WASTARA SKENDO TUKIHOJI MNA TU PYU PYU
 
Wastara yeye hiyo cannula aliwyoweka mkononi inageukiaa kuelekea kwenye Vidolee akati Njia sahihi kabisa ilibidi Hicho kidude kigeukie upande mwingne kama haoo wengine... So kiufupii hakuma Hospital Duniani inaweza mwekea drip mtu kwa njia hiyooo
Kwani dawa haiwezi kukata kona?

Anyway hebu muacheni sasa, kila Mtu anamshambulia, hebu muwe na roho samehevu...mmoja akisema basi inatosha mwenyewe atajitafakari.
 
Laiti ungeweka na hizo alizofuta ungeeleweka. Kutokufanya hivyo, ni uzushi na upotofu kuleta mada kama hiyo, isiyojitosheleza
Alizofuta si ndo hizo hapo zilichukuliwa kabla hajafuta.

Kuna watu wagumu kweli kuelewa
 
Mange Kimambi alibet kuwa huyu dada anatufanyia movie, eti hela anafanyia starehe!!! Binafsi sijui kinaendelea nini
 
Cbish kwa7b hata nikiunga mkono hoja cfaidk na kitu boss.Angalia mkono miwil ya upande WA kulia,linganisha na mkon WA wastara,ndo maana nkasema hii yote mkono wa wastara?.
NB:Wastara naamfaham na hainafaida kumwelezea yeye n nan kwang au kwako.
Hiyo mingine ni picha za mikono mingine ya watu wengine zimeunganishwa na picha ya wastara uone utofauti
 
Hebu tueleweshen vzr, mbona mnaandika andika kama vile kila mtu anajua kilichojiri.
Sheraton ya Dubai,. 100pec alishuka kula bata Dubai Kwa bahat mbaya akakutana Na wabongo wanaomjua ikabidi aue soo kabla hawajamuumbua
HEBU TUANZE NA HIYO LOGO HAPO ILI TUJUE NI YA KAMPUNI GANI...
JE NI LOGO YA HOSPITAL..??, HOTELI..?? AU KAMPUNI INAYOTENGENEZA NGUO BAADA YA HAPO TUENDELEE NA MJADALA...



 
issue sio kuzingua ila tumuulize wastara hii tiba anapata wapi? hii ndio itakuwa pivot yetu ya kuendelea na huu mjadala otherwise tunamuonea
Unafikiri kwa tatizo lake atafanyowa dispensary?
 
kama adanganyanya wala msihofu atashikwa siku moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…