Mama mbona hujaelewa... Kinachohojiwa hapo ni uelekeo wa hiyo sindano ya huyo mgonjwa wetu ukilinganisha na hizo picha zingine ambazo uelekeo wake uko sahihi. Kusubili drip ni sawa, lakini namna ikivyochomwa.Wakati mwingine hiyo sindano inakuwa imetulizwa tu hapo ikingojea drip.
Yaani Mamndenyi anakuambia kua hiyo sindano hata kuchomwa haijachomwa bado, madokta au manesi wameigundishia tu kwenye mkono ili drip ikija ndio waichome,Mama mbona hujaelewa... Kinachohojiwa hapo ni uelekeo wa hiyo sindano ya huyo mgonjwa wetu ukilinganisha na hizo picha zingine ambazo uelekeo wake uko sahihi. Kusubili drip ni sawa, lakini namna ikivyochomwa.
Too low....Mkuu naona mikono ya watu 2 tofauti hapo.M1 uko kama mzungu Mzee ,mwengne uko kama mwafrika kijana.(Inawwzekana mkono m1 c wa wastara)
Huyu mkuu wenu wa nchi nae alizoea kulima tu mihogo huko Geita wacha akutane na mtoto wa mjini...bado Wema naye atazivuta tu!Huyu dada kuna tatizo mahali..
Kama anaweza hata kumchezesha movie mkuu wa nchi basi ameshindikana.
Haha, wazee wa jini kugeuka huku na huku kabla hajavuka barabara ili asigongwe gari!U cant fool all people.
bongo muvi akili zao huwa ni ndogo sana.
Nadhani wote wasiolewa sasa umewasaidia kwa maelezo haya mazuri, wakiongozwa na huyu MamndenyiMamndenyi inaonekna wewe umetoka Mamndenyi juzi juzi na ushamba wa mamndenyi bado unao. Unatakiwa kuelewa somo kabla hujabisha! Na njia nzuri ni kuuliza. Tatizo sio hicho ''kidude'' ambacho kwa jina la kitibabu kinaitwa canulla kuwa hapo mkononi. Tatizo ni kimegeukia chini. Yaani ule uwazi wa kuingiza dawa yenye maji umekuwa kwa juu na sindano ikailekezwa chini kwenye vidole. Wakati inatakiwa ile sindano ichomekwe kwenye mshipa wa damu kuelekea juu! Kwanini wanaweka hivyo? Kwa sababu nia ni ku-pump dawa kwenye mishipa ili iingie kwenye mwili hivyo ni lazima ufuate mkondo wa damu unavyokwenda!
Sorry mkuu, hawa watoto mie siwafuatiliagi sana wananichanganya. Nafkir Mods wabadilishe tu jina likae sawa. Sasa usahihi wa jina la huyu anaeumwa mguu sjui ni upi mkuu, ni Kajara au Wastara?Kichwa cha habari kinamuhusu "kajara" content inamuhusu "wastara" ni kweli haujui kuwa hawa ni watu tofauti.