Ni kweli Wastara anatudanganya kuwa yupo hospitalini India?

Kuna mtu alimpa ushauri kwamba bora ungekuja hapa Mbagala tukaingia room nikakuwekea cannula ukapiga picha ukapost kuliko kujicost kwenda India still unafake ..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah... Ukweli mchunguuu
 
Labda dawa inashuka kwenda vidoleni ili ikate kona kwa urahisi kufika kwenye ule mguu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mtu alimpa ushauri kwamba bora ungekuja hapa Mbagala tukaingia room nikakuwekea cannula ukapiga picha ukapost kuliko kujicost kwenda India still unafake ..[emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu tena kuna wahindi kibao mbagala unawavalisha koti la muuza bucha ya nyama tu mapicha picha ya kumwaga insta mambo yanakwenda. Amesumbuka bure na cannula za elekeo usiotazamika. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
kitu kilicho nifanya nianze kuamini ana fanya usanii ni baada ya kufuta picha
 

Kwanza mama ntilie siku hizi wanavaa white coat
Wataalamu tunaiita clinical coat [emoji23][emoji23]
 
Ni kwanini ofisi ya rais isingetoa muwakilishi kwenda kwenye matibabu yake? Maana hizi rumors za kufake ugonjwa zilianza mapema
 
Atapaje kiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…