Ni kweli Wastara anatudanganya kuwa yupo hospitalini India?

mwenyewe kapiga picha ili muangalie sura ya huruma nyinyi mnakimbilia kwenye canulla[emoji54][emoji54][emoji54]
Haa ha ha...yanii nadhani hakufikiria kabisaa ishu ya cannula..!!
 
hospital gani hiyo ya ajabu inayotoza mamilioni
 
Bisheni ambao hamjawahi ugua au kuuguza. Kupata mshipa wa kupitisha drip siyo kitu cha utani.

Ni kwanini ugonjwa wa wastara unawaumiza vichwa?

Tamani mungu afanye miugiza ili mmpokee huo ugonjwa.
Unakijua ulichokiandika???
So ukiwa unauguza ndio unatafuta Mshipa ?!
Ngoja Nikupe Shule Kidogo

Phlebotomy Inafanyika Kufuata Direction Ya Damu!
Huyo hapo kafanya Cannulation! That means kuna Dawa Ameweka Ziingie Kwenye Mshipa! Sasa Hizo Dawa Lazima Ziingie Kwenye Moyo Na Kuwa Distributed Via Arteries Kwenye Systemic Circulation! Then Kwenye GFR ambapo Tunategemea Bioavailability iwe Kubwa Kwa Sababu Tume Ikimbia 1st Pass Effect Kwenye Liver (Detoxification)

Ngoja Niishie Hapa Mkuuu Nitazid Kukuchanganya Hayo Mambo Ya Semi 1.
 
Jamani wewe haki nmechekaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…