πππππ mkuu watu wachokozi sana aiseenje ya mada
apewe miaka mingapi ? kwanza huo uzuri wake aliwahi kuuonyesha wapi ?Arteta ni kocha mzuri apewe muda
Duh..kwa mwenendo huu ataishusha darajaapewe miaka mingapi ? kwanza huo uzuri wake aliwahi kuuonyesha wapi ?
Wamepigwa na leo tenaHuu ndio ushauri ninaoupeleka kwa Bodi ya wakurugenzi ya Arsenal, Washabiki na wapenzi wao.
Arteta hana uwezo wowote wa kufundisha timu kubwa kama Arsenal, hana kitu na wala uwezo wake hauna tofauti na Kuku kishingo, bila kumuondosha huyu kocha Arsenal itashuka daraja, kama mnabisha subirini.
Arteta akiendelea kubaki mwakani arsenal itacheza championshipWamepigwa na leo tena
Ni lazima ishuke daraja , hifadhi hili andikoUshindi wa mwisho wa Arsenal ilikuwa tarehe 1 november kwenye ligi.dahh siyo mshabiki wa arsenal ila timu hii haistahili kuwa hivi.matokeo mabovu mno.
na haya matimu yaliyo chini ya aseno kipoint na yenyewe hayashindi, ilitakiwa yawe yanapata ushindi ili aseno afike mpk nafasi ya 19Ni lazima ishuke daraja , hifadhi hili andiko
Game inayofuata anapigwa goli 5 , ataporomoka tu , ni lazima ashuke darajana haya matimu yaliyo chini ya aseno kipoint na yenyewe hayashindi, ilitakiwa yawe yanapata ushindi ili aseno afike mpk nafasi ya 19